Just be fair, ni mwanasiasa gani Tanzania ya leo hafanyi hayo uliyoyasema? Siasa ni biashara sasa hiviHivi ninyi mna akili Timamu kweli?Mtu ambaye ni MLA RUZUKU ambazo ni KODI ZAKO!Wanapeleka mademu DUBAI na MAREKANI kwa KODI yako.WanaHONGA VITI MAALUM Leo hii ndio unafikiri Watadhibiti RUSHWA?Matarajio yasiyowezekana.MBOWE tu hana "UBAVU"wa kutaja mla rushwa kwasababu ni wale wale...."Kwa Mbowe siasa ni KITEGA UCHUMI cha kumuongezea UTAJIRI ndio maana fursa zote za pesa anachukua.Ninyi hamuoni na hamtaona.Kama mtu ameshindwa kuwa mwaminifu kwa hicho kidogo(RUZUKU) WATANZANIA WATALIA SANA KAMA WATAKUWA CHINI YA HAWA MABEPARI(Wataiona CCM ilikuwa na AFADHALI).