Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,251
- 5,322
Slaa hiki kichwa acha tu, Mungu ambariki sana
tatizo ni mzinifu
Slaa hiki kichwa acha tu, Mungu ambariki sana
wewe ndo unasema lakini ccm jiandaeni kisaikolojiaHana ubavu huo.
Labda ni rais wa kuzimu.
Next prezidenti.
swissme
mtajua muda ukifika ccm hakuna mwenye sifa za kugombea uraisi.in tengeru
Mwendo spidi mia ishirini, nipo dar acha nije nihuhudie. Unafanyija viwanja gani wadau?
hata wewe ni tunda la uzinifu.tatizo ni mzinifu
chadema ni chama imara kinachojijenga kitasisi ili kiweze kuwa na taasisi imara ccm na vibaraka wenu bye bye ushindi huo unakuja
tatizo ni mzinifu
chadema ni chama imara kinachojijenga kitasisi ili kiweze kuwa na taasisi imara ccm na vibaraka wenu bye bye ushindi huo unakuja
tatizo ni mzinifu
Kabla hujaangalia kibanzi cha mwenzako, toa kwanza boriti ndani ya macho yako. Unamtaja kwamba ni mzinzi, naamini nawe una dhambi yako.
Hana ubavu huo.
Labda ni rais wa kuzimu.[/QUOT
Nani mwenye Ubavu mkuu au wauza madawa ya kulevya wanaolala wakiapia kutoa kuendeleza kafala za ajari?
kwani alikuzin nini?
mkipata viti hata vi5 mwaka huu natembea kichwa chini miguu juu mpk kwa mtei
1. Tumaini la waliokosa AJIRAView attachment 246557
raisi mtarajiwa atakuwa morogoro kusambaza upendo.
hujawahi kumuona hapo bar unapofanyia kaz?