Mapokezi ya Dr Slaa kutetemesha Karatu leo

Mapokezi ya Dr Slaa kutetemesha Karatu leo

Mkuu hiyo ni sehemu ya mapokezi...Picha nyingine nimeshindwa kuweka hakika ni umati uliotikisa Karatu nzima.

...... Hapo Msalani, Laki Si Pesa, Lizaboni, Simiyu Yetu Na Wengine Watasema Hizo Picha Ni Za Mwaka 2010
 
Ahsante sana mkuu nimeziona bila shaka karatu Ukawa tunachukua vijiji vyoteee

Mkuu hao unaowaona kwenye miti ni baada ya umati kuwa mkubwa mabarabarani ili wananchi wasishindwe kumuona wakapanda miti.
 
Barikiwa Kamanda

Kamanda tupia picha kuna watu tulibishana nao hapo KRT siku ya jana niliwaambia mwigulu watu hawakwenda kwamba wanaipenda ccm, walikwenda kumwona ni nyang'au yupi huyu aliyekuwa anaitukana CHADEMA yoote + Slaa, eti leo anakuja Kratu. Tupia
 
Mkuu hao unaowaona kwenye miti ni baada ya umati kuwa mkubwa mabarabarani ili wananchi wasishindwe kumuona wakapanda miti.

Molemo nafurahi sana mkuu wilaya yangu niliyozaliwa kuzidi kuwa chachu ya mabadiliko,, ikumbukwe toka uchaguzi wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi kufanyika kwa Mara ya kwanza mwaka 1995 karatu walichagua Chadema, mpaka sasa bado karatu wamezidi kuwa sehemu ya mageuzi ndani ya nchi hii,, Mungu Baba wabariki sana wananchi wa karatu.....
 
Sifa za kiongozi thabiti zinaanzia ngazi ya familia, mtaa (kwa maana ya jamii inayokuzunguka), kijiji; kata, wilaya na taifa. Ukiwa wewe ni kiongozi kweli itadhihirika katika ngazi hizo na uwezo wako wa kiuongozi ukianza kuchuja nao utajidhihirisha katika ngazi hizo siyo lazima zote but must b seen in some of these levels. Kazi kwenu na silaa wenu
 
Kamanda tupia picha kuna watu tulibishana nao hapo KRT siku ya jana niliwaambia mwigulu watu hawakwenda kwamba wanaipenda ccm, walikwenda kumwona ni nyang'au yupi huyu aliyekuwa anaitukana CHADEMA yoote + Slaa, eti leo anakuja Kratu. Tupia

Kamanda jana CCM walisomba watu kwa Malori mpaka wilaya za jirani.Nasikia kuna mabasi pia yalitoka Arusha mjini juzi yakaingia alfajiri jana yakiwa yamebeba watu
 
Molemo nafurahi sana mkuu wilaya yangu niliyozaliwa kuzidi kuwa chachu ya mabadiliko,, ikumbukwe toka uchaguzi wa kwanza chini ya mfumo wa vyama vingi kufanyika kwa Mara ya kwanza mwaka 1995 karatu walichagua Chadema, mpaka sasa bado karatu wamezidi kuwa sehemu ya mageuzi ndani ya nchi hii,, Mungu Baba wabariki sana wananchi wa karatu.....

Nakuhakikishia Chadema itashinda mitaa na vijiji na vitongoji vyote.Niamini.
 
... Slaa For Prezdency

Sifa za kiongozi thabiti zinaanzia ngazi ya familia, mtaa (kwa maana ya jamii inayokuzunguka), kijiji; kata, wilaya na taifa. Ukiwa wewe ni kiongozi kweli itadhihirika katika ngazi hizo na uwezo wako wa kiuongozi ukianza kuchuja nao utajidhihirisha katika ngazi hizo siyo lazima zote but must b seen in some of these levels. Kazi kwenu na silaa wenu
 
Shughuli zisimame kwa ajili ya BABU?
Acheni vioja nyie.

Kwa hiyo kwa akili yako ilivyo ndogo kwa picha hii shughuli zimeendelea?

10433937_595043210597777_9119763100152042000_n.jpg
 
kazi aliyofanya mwigilu work done ni zero

yaani alikuwa anasukuma ukuta kwa kutumia nguvu kubwa ila ukuta haukusogea yaani baada ya kujamba watu wametema mate ndio dawa ya ushuzi
 
kazi aliyofanya mwigilu work done ni zero

yaani alikuwa anasukuma ukuta kwa kutumia nguvu kubwa ila ukuta haukusogea yaani baada ya kujamba watu wametema mate ndio dawa ya ushuzi

Alipoteza muda wake na gharama za bure
 
Back
Top Bottom