GJHariohay
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 1,041
- 1,161
Picha za mapokezi barabarani ziko juu mkuu
Ahsante sana mkuu nimeziona bila shaka karatu Ukawa tunachukua vijiji vyoteee
Picha za mapokezi barabarani ziko juu mkuu
kitanda chako milembe kipo wazi bado !! they need u back
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa leo ataanza ziara ya kichama kwenye jimbo la Karatu.
Ziara ya Dr Slaa ni ya kawaida ya kuimarisha chama na kuwanadi wagombea wa Serikali za mitaa,vijiji na vitongoji.
Kama inavyokuwa siku zote kiongozi huyo anapozuru Karatu ni kwamba mapokezi makubwa sana yameandaliwa na inatarajiwa shughuli katika mji wa Karatu na viunga vyake kusimama walau kwa masaa 6 kupisha ujio wa kiongozi huyo maarufu zaidi Tanzania.
Katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Jumapili Chadema inatarajiwa kushinda mitaa,vijiji na vitongoji vyote jimboni Karatu kutokana na jimbo hilo kuwa ngome kuu ya Chadema kwa kipindi cha miaka 20 sasa.
Dr Slaa ni mzaliwa wa Karatu na ameongoza jimbo hilo kwa miaka 15 akiwa mbunge hivyo anaporejea nyumbani wanaKaratu wanasema ni mtoto amerudi nyumbani huku vijiji kadhaa vikitoa mbuzi na ngombe kuchinja na kufanya sherehe kwa heshima ya Kiongozi huyo wa kipekee.
Mapokezi katika picha:
![]()
![]()
![]()
![]()
Mchumba wake ambaye ni wewe?Mzee Slaa amefilisika kisiasa.
Angetulia nyumbani tu na mchumba wake.
Mkuu Dr. Slaaa ni kipenzi cha watu....... Duuh, Wadau Hizo Picha Ni Kweli Au Mume Edit? Daaah, Sijawahi Ona Mapokezi Makubwa Kama Haya.
..... Duuh, Wadau Hizo Picha Ni Kweli Au Mume Edit? Daaah, Sijawahi Ona Mapokezi Makubwa Kama Haya.
Mkuu hiyo ni sehemu ya mapokezi...Picha nyingine nimeshindwa kuweka hakika ni umati uliotikisa Karatu nzima.
Mkuu hiyo ni sehemu ya mapokezi...Picha nyingine nimeshindwa kuweka hakika ni umati uliotikisa Karatu nzima.
Huyu mzee mbona anazidi kuchoka sana!
Jamaa kawaingiza kingi akina mwigulu na jamii yake wakaamini kuwa wamempokea katibu wa cdm Karatu! Kapiga hela na amesepa!!!!
Mkuu Dr. Slaaa ni kipenzi cha watu..
mungu akuwezeshe utuwekee mapicha yote .