Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,903
- 28,041
Daaah...Kweli Dr. Slaaa anapendwasana..
Viva Wana Karatu..
Viva Wana Karatu..
Shughuli zisimame kwa ajili ya BABU?
Acheni vioja nyie.
Slaa hawezi kupata mapokezi makubwa kama aliyoyapata Mwigulu Karatu
Shughuli kusimama masaa sita ni sifa sana eeenh??!!!
Sehemu ambayo ni ngome kwa miaka ishirini bado unahitaji ushereheshaji wa aina hii yako muandishi??!!
Kuchinjiwa mbona ni jambo la kawaida saaana kwa jamii za kufuga, yaani hata bibi yangu nikienda hutoa japo kuku achinjwe!!!
Huku ndio kunaitwa kudekeza viongozi halafu wakipata madaraka mnataka watekeleze matakwa ya nchi wakati mnawazoesha wenyewe masifa na kujipendekeza bila sababu ya maana!!!
Ukombozi hauji kwa masifa kama anayopewa bibi harusi na muendesha sherehe!!!
Michael Hayshi na Botha waliojiunga na CCM si ndio watajuta leo kwa kujiunga na mafisadi ! Yetu macho na masikio.
Kamanda Molemo nitaweka updates niko pande za huku Dr. Nikipenzi cha watanzania wote
Shughuli kusimama masaa sita ni sifa sana eeenh??!!!
Sehemu ambayo ni ngome kwa miaka ishirini bado unahitaji ushereheshaji wa aina hii yako muandishi??!!
Kuchinjiwa mbona ni jambo la kawaida saaana kwa jamii za kufuga, yaani hata bibi yangu nikienda hutoa japo kuku achinjwe!!!
Huku ndio kunaitwa kudekeza viongozi halafu wakipata madaraka mnataka watekeleze matakwa ya nchi wakati mnawazoesha wenyewe masifa na kujipendekeza bila sababu ya maana!!!
Ukombozi hauji kwa masifa kama anayopewa bibi harusi na muendesha sherehe!!!
vipi wamekutoa lini mirembeMzee Slaa amefilisika kisiasa.
Angetulia nyumbani tu na mchumba wake.
Daaah...Kweli Dr. Slaaa anapendwasana..
Viva Wana Karatu..
Mkuu nasubir sana picha za kumwaga kutoka pande hizo...... Bila shaka mkutano utafanyika uwanja wa Mbowe hapo bwawani
Hapo sukari kilo mbili lazima apeleke nyumbani leo
Mzee Slaa amefilisika kisiasa.
Angetulia nyumbani tu na mchumba wake.
Mzee Slaa amefilisika kisiasa.
Angetulia nyumbani tu na mchumba wake.
Slaa hawezi kupata mapokezi makubwa kama aliyoyapata Mwigulu Karatu