Mapokezi ya Dr Slaa kutetemesha Karatu leo

Mapokezi ya Dr Slaa kutetemesha Karatu leo

Jamaa kawaingiza kingi akina mwigulu na jamii yake wakaamini kuwa wamempokea katibu wa cdm Karatu! Kapiga hela na amesepa!!!!

Nimefurahishwa na ujanja wake wa kulamba mshiko wa nguvu.Nadhani ataanza biashara soon
 
Shughuli kusimama masaa sita ni sifa sana eeenh??!!!
Sehemu ambayo ni ngome kwa miaka ishirini bado unahitaji ushereheshaji wa aina hii yako muandishi??!!
Kuchinjiwa mbona ni jambo la kawaida saaana kwa jamii za kufuga, yaani hata bibi yangu nikienda hutoa japo kuku achinjwe!!!

Huku ndio kunaitwa kudekeza viongozi halafu wakipata madaraka mnataka watekeleze matakwa ya nchi wakati mnawazoesha wenyewe masifa na kujipendekeza bila sababu ya maana!!!
Ukombozi hauji kwa masifa kama anayopewa bibi harusi na muendesha sherehe!!!

Unasumbuliwa na wivu wa kike
 
Haya!!! Wale viumbe wanaolipwa elfu 7 na Mwigulu ili kumtukana Dr Slaa kwenye mitandao karibuni kwa matusi!!!

Mkuu nakumbusha tu kuna mchangiaji jana alisema ni viumbe vilivyokatika hatari ya kupotea kabisa huku nchini.
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa leo ataanza ziara ya kichama kwenye jimbo la Karatu.

Ziara ya Dr Slaa ni ya kawaida ya kuimarisha chama na kuwanadi wagombea wa Serikali za mitaa,vijiji na vitongoji.

Kama inavyokuwa siku zote kiongozi huyo anapozuru Karatu ni kwamba mapokezi makubwa sana yameandaliwa na inatarajiwa shughuli katika mji wa Karatu na viunga vyake kusimama walau kwa masaa 6 kupisha ujio wa kiongozi huyo maarufu zaidi Tanzania.

Katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Jumapili Chadema inatarajiwa kushinda mitaa,vijiji na vitongoji vyote jimboni Karatu kutokana na jimbo hilo kuwa ngome kuu ya Chadema kwa kipindi cha miaka 20 sasa.

Dr Slaa ni mzaliwa wa Karatu na ameongoza jimbo hilo kwa miaka 15 akiwa mbunge hivyo anaporejea nyumbani wanaKaratu wanasema ni mtoto amerudi nyumbani huku vijiji kadhaa vikitoa mbuzi na ngombe kuchinja na kufanya sherehe kwa heshima ya Kiongozi huyo wa kipekee.

wana wa Karatu peoplessssssss! tunategemea viti vyote
 
Kamanda Molemo nitaweka updates niko pande za huku Dr. Nikipenzi cha watanzania wote
 
acheni siasa za majitaka watanzania penyeukweli tuseme
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa leo ataanza ziara ya kichama kwenye jimbo la Karatu.

Ziara ya Dr Slaa ni ya kawaida ya kuimarisha chama na kuwanadi wagombea wa Serikali za mitaa,vijiji na vitongoji.

Kama inavyokuwa siku zote kiongozi huyo anapozuru Karatu ni kwamba mapokezi makubwa sana yameandaliwa na inatarajiwa shughuli katika mji wa Karatu na viunga vyake kusimama walau kwa masaa 6 kupisha ujio wa kiongozi huyo maarufu zaidi Tanzania.

Katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Jumapili Chadema inatarajiwa kushinda mitaa,vijiji na vitongoji vyote jimboni Karatu kutokana na jimbo hilo kuwa ngome kuu ya Chadema kwa kipindi cha miaka 20 sasa.

Dr Slaa ni mzaliwa wa Karatu na ameongoza jimbo hilo kwa miaka 15 akiwa mbunge hivyo anaporejea nyumbani wanaKaratu wanasema ni mtoto amerudi nyumbani huku vijiji kadhaa vikitoa mbuzi na ngombe kuchinja na kufanya sherehe kwa heshima ya Kiongozi huyo wa kipekee.
love u too dr.slaa
 
hata wananchi wa manispaa morogoro kata ya chamwino wanajuta kuikumbatia ccm awajawahi kupata barabara ya rami toka tumepata uhuru wa nchi hii
 
hapo hata mimi nataman ningekuwepo huko karatu maana jembe linarudi hom
 
Back
Top Bottom