Mapito ya career woman

Mapito ya career woman

Status
Not open for further replies.
Sio kweli kabisa. Mwanaume kisaikolojia anajiona provider huyu hata akiwa ndie bread winner kwenye familia ndoa itaenda vizuri. Mwanamke yeye anajiona ni receiver huyu hela yake ikiingia kwenye bill za familia kama hana hekima kama wewe lazima ilete shida.

Nina dada angu kaolewa na kipato chake na mumewe kipo kwenye scale inayolingana lakini naona jinsi anavyomuheshimu mumewe
Hebu ngoja nikuulize mwanamke akishafanya hayo yote anapata nini in return toka kwa mumewe, mbona kama taratibu mnaanza kujipunguzia umuhimu wenu kwa wanawake, kama ukitaka mwanamke afanye majukumu yake na bado akusaidie na yako sasa wewe kwake utakuwa na umuhimu gani

Anyway wewe endelea kuongea fantasies sisi tunaongelea reality tunayoiona kwenye jamii, uzuri humu jf yeyote anaweza andika lolote mradi tu atetee hoja yake, ila wote tunajua ni ngumu kumtawala mwanamke anaye jitegemea kiuchumi na kuchangia pato la familia hata wanaume wenyewe wanakiri hilo

Yani labda ukutane na mwanamke mwenye low self esteem asiyejiamini na yuko desperate na ndoa anaogopa kuachika ndio atafanya hayo, hao tunawahesabia kama masimp wa kike na ndio hao mwisho wa siku wakipigwa matukio wanakuja kujiliza, utasikia "oo wanaume hawana shukurani nilijitoa kwake nilimfanyia kila kitu ila bado kanisaliti au kaniacha blah blah" utadhani alitumwa
 
Career woman ni mwanamke mpumbavu sana na malaya wa kutupwa

Mwanamke yoyote ambaye ana ambitions kubwa kwenye career;

Sikuzote she puts her interest before her marriage

Anafocus zaidi kwenye dreams za mafaniko yanayotokana na career yake kuliko interest of the family

Akipata kazi kipaumbele chake ni boss na sio mume wake yuko radhi awe submitted kwa boss wake kuliko mume wake

Kipaumbele chake ni career na sio watoto wenu. Atataka awe na msaidizi wa nyumbani kulea watoto wake

Siku zote huyu mwanamke yuko busy na hivi kwamba anashindwa kushughukikia masuala ya kifamilia yanayomhusu mke au mama

Huko kazini sasa yuko tayari kuchanua hata mapaja yake ili apate promotion ya kupandishwa cheo. Always career woman spreads her legs for her superiors. Kama alimchanulia mapaja lecturer atashindwaje kwa boss wake

Kwa sababu ameshamegwa sana na kuishi maisha ya ndoa bubu na sogeza tuishi usitegemee malaya huyo atakuwa mke wa maana

She never ever make a happy home

Learn or perish
This is bitter Truth, When a lady pursue Career ambitions, She can do anything to archive it
 
Hebu ngoja nikuulize mwanamke akishafanya hayo yote anapata nini in return toka kwa mumewe, mbona kama taratibu mnaanza kujipunguzia umuhimu wenu kwa wanawake, kama ukitaka mwanamke afanye majukumu yake na bado akusaidie na yako sasa wewe kwake utakuwa na umuhimu gani

Anyway wewe endelea kuongea fantasies sisi tunaongelea reality tunayoiona kwenye jamii, uzuri humu jf yeyote anaweza andika lolote mradi tu atetee hoja yake, ila wote tunajua ni ngumu kumtawala mwanamke anaye jitegemea kiuchumi na kuchangia pato la familia hata wanaume wenyewe wanakiri hilo

Yani labda ukutane na mwanamke mwenye low self esteem asiyejiamini na yuko desperate na ndoa anaogopa kuachika ndio atafanya hayo, hao tunawahesabia kama masimp wa kike na ndio hao mwisho wa siku wakipigwa matukio wanakuja kujiliza, utasikia "oo wanaume hawana shukurani nilijitoa kwake nilimfanyia kila kitu ila bado kanisaliti au kaniacha blah blah" utadhani alitumwa
Suala la utiifu wa mke kwa mumewe ilo sio negotiable, ni obligation. Lakini suala la kulipa bill za nyumbani ilo ni la kujadiliwa kulingana na scale ya vipato vya mume na mke
 
ila we jamaa

mi nashangaaa unawaandama sana wanawake sijui kwanini as if wewe ni mkamilifu sana.

nadhani ujifunze kufata biashara zako hapa duniani mengine hayakuhusu. kusengenya watu kwa ubaya ni dhambi pia
 
Suala la utiifu wa mke kwa mumewe ilo sio negotiable, ni obligation. Lakini suala la kulipa bill za nyumbani ilo ni la kujadiliwa kulingana na scale ya vipato vya mume na mke
Kama ambavyo suala la mume kuhudumia mke na watoto ni obligation, tofauti na hapo hustahili na huna haki ya kupewa utii na mke wako, narudia hakuna mamlaka bila wajibu popote pale duniani hilo halipo
 
Kama ambavyo suala la mume kuhudumia mke na watoto ni obligation, tofauti na hapo hustahili na huna haki ya kupewa utii na mke wako, narudia hakuna mamlaka bila wajibu popote pale duniani hilo halipo
ukishakua na kipato automaticaly hauna tena privilege ya kuhudumiwa. Lakini hakuna namna yoyoyte ambayo kipato chako kinakulazimu kushindwa kumweshimu na kumtii mumeo.

Hapa labda useme tu asili yako ni ujeuri, ila unalazimika kuificha katika nyakati ambazo unamtegemea mwanaume kiuchumi.
 
Wanawake wa jf watabisha ila hayo ndo maisha halisi ya mabinti huko vyuoni na wengi tabia na kuiga maisha huanzia huko
 
ukishakua na kipato automaticaly hauna tena privilege ya kuhudumiwa. Lakini hakuna namna yoyoyte ambayo kipato chako kinakulazimu kushindwa kumweshimu na kumtii mumeo.

Hapa labda useme tu asili yako ni ujeuri, ila unalazimika kuificha katika nyakati ambazo unamtegemea mwanaume kiuchumi.
Kwa hiyo ukiwa hutoi matumizi home say umepata mtihani kwny kipato hustahili kupewa huduma za baba?
đźš®
 
ukishakua na kipato automaticaly hauna tena privilege ya kuhudumiwa. Lakini hakuna namna yoyoyte ambayo kipato chako kinakulazimu kushindwa kumweshimu na kumtii mumeo.

Hapa labda useme tu asili yako ni ujeuri, ila unalazimika kuificha katika nyakati ambazo unamtegemea mwanaume kiuchumi.
Hujanijibu swali langu nimeuliza mwanamke akifanya hayo yote, anapata nini in return toka kwa huyo mwanaume wake, na huyo mwanaume anakuwa na umuhimu gani kwa mwanamke wake jibu kwanza hili

Sasa kama unaona mwanamke akiwa na kipato hana privilege ya kuhudumiwa, kwanini na wewe usione kwamba ukishaacha kumhudumia mwanamke huna privilege ya kumtawala, sababu kakupunguzia mzigo wa majukumu au wewe unadhani msingi wa utii wa mwanamke kwa mumewe ni nini

Ndio maana huwa mnaambiwa chagueni moja ni either muoe mahousewife wanaowategemea ili mpate heshima mnayoitaka, au muoe career women wanaojitegemea lakini hamtapata heshima mnayoitaka yani ni lazima mchose kimoja na msacrifice kimoja, kwa sababu huwezi kupata vyote hivyo kwa mwanamke mmoja vinginevyo achana na wanawake kabisa
 
Wanazitaka bikra wakiambiwa zipo wanapinga
Hv unaelewa kweli
Si ndio hapo sasa, pia wanasema mabinti wakiwa kwenye prime age hawataki kuolewa katika umri huo ni hadi wachezewe kwanza ndio wanaanza kutafuta ndoa, halafu hapo hapo wanashauriana eti mwanaume ukitaka kuoa kaoe binti bikira, wanasahau kwamba walishasema mabinti bikira hawako tayari kuolewa mapema, yani wanatia huruma hawajui hata wanachokipigania masikini
 
Hujanijibu swali langu nimeuliza mwanamke akifanya hayo yote, anapata nini in return toka kwa huyo mwanaume wake, na huyo mwanaume anakuwa na umuhimu gani kwa mwanamke wake jibu kwanza hili
Mkishaamua kuishi kama mume na mke mnakua kitu kimoja. Mnajenga familia kwa ushirikiano sio terms za kusema mimi nikitoa hiki lazima nipate hiki.
Sasa kama unaona mwanamke akiwa na kipato hana privilege ya kuhudumiwa, kwanini na wewe usione kwamba ukishaacha kumhudumia mwanamke huna privilege ya kumtawala, sababu kakupunguzia mzigo wa majukumu au wewe unadhani msingi wa utii wa mwanamke kwa mumewe ni nini
Mara nyingi sana nishawahi kukwambia unashindwa kutofautisha uongozi wa mwanaume kwenye familia na utumwa. Wewe ukisikia mwanaume kama kiongozi wa familia basi unajenga picha ni jamaa mmoja katili, akiangia nyumbani ni mwendo wa kumtandika makofi na kumtumikisha mke wake. Hatuishi na wake wetu hivyo kama picha uliyoijenga kichwani mwako
Ndio maana huwa mnaambiwa chagueni moja ni either muoe mahousewife wanaowategemea ili mpate heshima mnayoitaka, au muoe career women wanaojitegemea lakini hamtapata heshima mnayoitaka yani ni lazima mchose kimoja na msacrifice kimoja, kwa sababu huwezi kupata vyote hivyo kwa mwanamke mmoja vinginevyo achana na wanawake kabisa
mimi nitakubaliana na suala mwnamke kushindwa kutimiza majukumu yake nyumbani na kazini kwa pamoja. Yaani awe nyumbani kupika na hapo hapo awe ofisini kwake, hii haiwezekani, na ndio maana katika ndoa kama izo huwa anaajiriwa housegirl

Lakini hakuna namna yoyote ambayo kipato chako kitakuzuia kumweshimu mumeo. Kwamba upo sebureni unaangalia movie mumeo katokea na kukuongelesha halafu kipato chako kikuzuie kuweka pause iyo movie ili umsikilize kwanza mumeo.!

Kwamba unatoka kuna sehemu unaenda halafu kipato chako kikuzuie kumuaga mumeo na kumjulisha unapoenda.!

Huo ni ujeuri wako binafsi, hakuna uhusiano wowote wa kipato chako na iyo career yako
 
Kumekua na kasumba ya jamii kuamini mwanamke mwenye miaka 18-24 bado ni mdogo kuolewa. Katika umri huo anatakiwa kutengeneza career yake kwanza. Leo embu tuangazie mapito ya career woman.

Anamaliza form 6 akiwa na miaka 18 au 19, hapa makadirio ya chini body count inasoma 3 au 4, wachache huwa wanapita hii hatua wakiwa bikira. Baada ya hapo anaenda chuo.

Huyu career woman ambae familia na jamii inasema bado mdogo kuingia kwenye ndoa, uko chuo anaishi kwenye ndoa bubu.

She is playing house wife with her boyfriend. She is giving him free sex, cooking for him and washing his clothes, all for a boy who will never marry her

Kumbuka kwenye ndoa bubu napo kuna michepuko pia. Wakati career woman anatoa huduma zote kama mke kwa boyfriend wake, kuna sugar daddies watatu, malecturer kama 5 hivi , yule mubaba mume wa mtu na yule kaka anafanya kazi TBL wote wapo kwenye sexroll ya career woman.

Kumbuka kuna Sheby bodaboda kwa ajiri ya safari zake, kuna Jembe muuza chipsi wa kumrekebishia masuala ya msosi, kuna Q-boy pamba kali kwa ajiri ya kumpendezesha, kuna yule baunsa wa ile club maarufu kwa ajiri ya free entry kila wikiend akiingia hicho kiwanja. Unajua career woman anawalipa nini in-return hawa watu? sikwambii.

Ooh.! nilitaka kusahau kuna events zinaitwa house party. Katika hizi shughuli kundi la wanafunzi jinsia ME na KE wanakodi nyumba siku mbili mfululizo wanajifungia ndani. Humo ndani ni mwendo wa pombe, bangi, shisha na ufuska. Siku mbili zikiisha career woman anatoka hana bikira hata moja, matundu yote kwishnei.

Huyo ndio career woman. Nawaonea huruma sana masimp

Career woman anamaliza chuo body count inasoma 100+ sasa hapa ndio anarudi nyumbani. Guess what?

Her family will package her as "ready for marriage", and the worst part they will expect you a man who spent years grinding, sacrificing and building yourself to settle for her.

You have been disciplined, focused, invested in yourself and worked tirelessly to build your value. Meanwhile she's been hopping from bed to bed, squandering her youth and disrespecting herself in the name of building her career. Now you are supposed to accept her with open arms. Don't be that dump fool simp.

Zawadii bora zaidi ambayo mwanamke anaweza kumpa mume wake ni bikira. Bikira ni kiwakilishi cha kujiheshimu, nidhamu, na mwanamke kujithamini. Mwanamke aliejitunza ni mwanamke ambae anajua thamani yake na thamani yako mumewe mtarajiwa.

If you want a peaceful marriage marry a fresh, young and submissive housewife. Stay away from woman who has been passed around, giving herself freely to badboys, sugar daddies, lectureres and randomly strangers in the name of building a career, such women has nothing left to offer except regret and baggage. You don't need that in your life.

Don't be a simp.
years ago niliangalia documentary ya BBC. Walikuwa wanazungumzia haya masuala. The average woman in the UK alikuwa amepitiwa na 700men kabla ya kusettle. Aisee...
 
years ago niliangalia documentary ya BBC. Walikuwa wanazungumzia haya masuala. The average woman in the UK alikuwa amepitiwa na 700men kabla ya kusettle. Aisee...
Haya mambo yanafanyika sirini, na hata wanawake wakiulizwa wanaficha ndio maana ukisema demu anamaliza chuo na body count ya 100+ watu wanashangaa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom