Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 14,243
- 40,253
- Thread starter
-
- #101
Ilo pia ni tatizo, na wanaume wengi bado hawajajua kwamba mke wa kushinda nyumbani ana output kubwa zaidi ya hawa career women. Hela ya mwanamke asie na hekima ikiingia ndani ya nyumba italeta matatizo.Hapa mkuu unapigia mbuzi gitaa acheze.
Wenzio hapo wanaoa degree na ajira ya mwanamke kwa ajili ya kipato chake!
Hayo mengine kwao hayana maana, kwa sababu huyo mwanamke mwenyewe anayeolewa anakuwa hapendwi, kinapendwa kioiato chake.
Naongeza wigo wa kipato😀😀😀😀 nakuona siku hizi unazulula sana kule kwenye uzi wa kubet
Sasa huyo ni mpenda ngono, yeye hafanyi ngono apate kitu fulani, kwake hiyo starehe ni tofauti na hao wa mleta uzi wa kufanya ili apate kitu.Kupigwa pipe na 100+ siyo ajabu broo, ni vile tu huwa ni mambo ya siri..
Huyu hapa chini alichakatwa na wanaume zaidi ya 200.
Zambian bank suspends female worker after sleeping with over 200 men seeking employment, loans - The Street Journal
Winfridah was said to have used her influence to promise employment and also approving bank loan applications only if the men sleeps with herthestreetjournal.org
Chuo kikuuUmesoma Chuo au Chuo Kikuu?
Malaya wengi hujifanya wanachuo ili kula pesa za wazembe nina expirience na hili.Unashangaa mkuu. Mademu wa UDSM kuanzia ijumaa mpaka jpl wapo kitambaa cheupe pale sinza. Akilala na wanaume wawili kwa wiki piga hesabu mpaka amalize miaka mitatu ya chuo
Sawa mkuu, tukubali tu kutokubaliana ila kwa expirience yangu ni kua hoja unayo ila umezidisha mno.Kama mwezi hivi umepita nilikua iringa. Wikiend moja nikaingia club moja hivi ipo ghorofani inaitwa warm up. Wakajisogeza mabinti wawili pale kupiga piga nao story waliniambia wanasoma Tumaini university.
Baada ya kuwapiga maswali mawili matatu nikajihakikishia ni kweli wanasoma tumaini maana kile huo mimi nakijua vizuri, mzee wangu alikua lecturer pale baada ya kustaafu serikalini.
TUmepiga mtungi mdogo mdogo mpaka mida fulani nikauwauliza utaratibu wa kuondoka upoje wakaniambia wote wawili 60k.
Mzee wangu alikua lecturer wa mzumbe, alivyostaafu Tumaini wakamchukua. Maisha ya mademu wa chuo nayajua vizuri sana
Kama ni mzoefu ukimuhoji tu unajua, mfano siku moja nipo getway annex pub kijichi demu akjisogeza kwwnye meza yangu katika maongezi akasema anasoma TIA nikamuuliza unasomea nini, akaniambia sheria. Moja kwa moja nikajua huyu muongo kwa sababu TIA hakuna course ya sheria paleMalaya wengi hujifanya wanachuo ili kula pesa za wazembe nina expirience na hili.
Wasome lakini suala la kusema mwanamke wa 19-23 ni mdogo kuolewa iyo sio sahihi kwa sababu huo umri tayari washaanza kufanya mambo yote ya mke kwenda kuyafanya ndoaniKwahiyo wanawake wasisome?
Mimi kwa experience yangu mwanamke kumaliza chuo akiwa na body count ya 100+ ni kawaida sana. Hawa mabinti wa kisasa usiwachukulie poa, kuna mambo wanafanya ukiyajua hauwezi kuamini.Sawa mkuu, tukubali tu kutokubaliana ila kwa expirience yangu ni kua hoja unayo ila umezidisha mno.
Pisi zenye maisha hayo chuo ni za kuhesabu na ukiziona tu, ile mikogo yao unajua tu hili galasa.
Mwanamke anatakiwa asome, atengeneze uchumi wake ndio aolewe miaka 25-30 hapoWasome lakini suala la kusema mwanamke wa 19-23 ni mdogo kuolewa iyo sio sahihi kwa sababu huo umri tayari washaanza kufanya mambo yote ya mke kwenda kuyafanya ndoani
5% tu ya Watanzania ndio wamefikia elimu ya chuo.4/5000. Mkuu umesoma chuo?
Sawa mkuu, wachapeMkuu wanafunzi wa chuo wanachapwa sana. Mimi naishi kijichi kila wikiend wanafunzi wa TIA pale kusini wanakuwepo getway pub hapa.
Jadda sijawahi kuona ukitetea mienendo mizuri ya wanawake. Tukisema wanawake wajitunze utapinga, tukisema wanawake wenye kipato wachangie bill za nyumbani utapinga.Sasa kama unasema mabinti wengi wa miaka 18 hadi 20 tayari wameshatolewa bikira na hawako tayari kuolewa katika umri huo, halafu hapo hapo unashauri wanaume wenzio wakitaka kuoa waoe bikira ni bikira gani hizo unazozizungumzia, yani natamani miaka 10 hadi 20 mbele tuendelee kuwa hai halafu tutarudi hapa kuambiana kama wanaume wataacha au watapunguza kuoa hao wanawake mnaosema wametumika
Sote tumesoma vyuo4/5000. Mkuu umesoma chuo?
Binafsi i am very happy umalaya wao unawarudia usoni😃Ifike hatua jamii au waja mkubali ukweli ulioko hata km hamuutaki.
Hivi hawa wanawake wanatolewa hizo bikra na kina nani? Kwann nyie wanaume msitulie bila kuwatongoza wasichana, ili wabaki na bikra hadi watakapo olewa?
Kuwaharibu mnawaharibu wenyewe, afu lawama na kero mnazitua kwao, hivi mko timamu? Si ndio nyie mnahamasisha kijana akisha balehe atembeze rungu km mlinzi mpya Getini, na asipofanya hivyo mna muona aidha khanithi au shoga, sasa mnalaumu nn? Matokeo ndio hayo,
Tumechoka kelele zenu, kwani lazima kuoa? Si ukae single tyuu. Mxxxxiiiieeeew
Chief usijichosheFuatilieni mienendo ya mabinti na wadogo zenu wa kike uko chuoni wanaposoma. Kwenye suala la sex mwanaume na mwanamke hauwezi kuwaweka kwenye mzani mmoja.
Mwanaume hata akiwa na list ndefu wakati wa kuoa ukifika ilo sio tatizo kabisa, lakini mwanamke akiwa na list ndefu iyo inamchafulia profile yake.
Mwanaume anazaliwa akiwa hana thamani, anatakiwa kuitengeneza thamani yake ndio maana kinachozingatiwa ni future yake. Mwanamke anazaliwa akiwa na thamani anatakiwa kuilinda thamani yake ndio maana kinachozingatiwa ni past yake
Jadda akiingia bac tena .Sasa kama unasema mabinti wengi wa miaka 18 hadi 20 tayari wameshatolewa bikira na hawako tayari kuolewa katika umri huo, halafu hapo hapo unashauri wanaume wenzio wakitaka kuoa waoe bikira ni bikira gani hizo unazozizungumzia, yani natamani miaka 10 hadi 20 mbele tuendelee kuwa hai halafu tutarudi hapa kuambiana kama wanaume wataacha au watapunguza kuoa hao wanawake mnaosema wametumika