Nilipita pita chuo fulani, kule kuna hostel zipo BLOCK A-F, A&B NI WASICHANA, C HADI E NI WANAUME, F NI POSTGRADUATE{ME &KE}..
wakati wa zero draft za ratiba za masomo, weekend kama hakuna test, na mitihan ya UE ikiwa imeisha utakuta wamekaa wawili wawili usiku has baada ya kutoka canteen/complex..
kinachoendelea hapo n matumiz ya midomo mwanzo mwisho, ukikutwa na auxilliary pt ndo hvo..huko kuna uwanja, ukiingia tu upo kushoto, sasa kule mwisho wa uwanja mwisho kabsa kwenye ukuta buguruni ikasome.. kuna wale wanajiandaa kutoka hujifanya walokole kukaa kwenye mnara a.k.a block G.
ulipaswa useme 4/50000 ndo hawafanyi angalau body count inasome kwenye gauge ya 3 au 4.
ZILE HOSTEL NI SODOMA ILIYOPAKWA RANGI YA BLUE BAHARI ILIYOFIFIA.