Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,615
- 38,589
Hatua kwa hatua mapishi ya mbege.
Mahitaji kimjini mjini
1. Ndizi mbivu
2.ulezi
3.msesewe
4.mkaaa
5.ndoo walau 4
5. Maji
Chukua ndizi mbivu zilizoivaa kabisa na kulainika sana,zimenyee kwenye chombo kisafi uziponde ponde( hii inasaidia ziive mapema)..zitie kwennye sufuria zichemshe bila maji mpaka pale zitakapobadilika rangi kabisa na kua na rangi kama kahawi,wakati wakuchemsha zikiwa zinaanza kubadilika rangi weka msesewe husaidia baadae pombe yako kua na ukali..ziepua ndizi zako weka kwenye vikontena usijaze hadi juu na ziache kwa siku saba ndizi zichachuke(zikatike).
Chukua ulezi wako uoshe vizurii na kisha weka kwenye viroba(mifuko iliosha sukari au unga) ziache kwenye mifuko zichujike maji hadi kesho yake, zimimine kwenye sakafu safi zitandaze kwa muda kama masaa 12, sikusanye kwa pamoja zinyunyuzie maji yakutosha kisha changanya hakikisha zote zinapata maji yakutosha,zitandaze tena kisha funika kwa siku moja hadi mbili zianze kuota...baada ya kuota siku mbili zifunue na kuziachanisha kisha kazianike zikaule hapo utakua umepata kimea safii kabisaa...
Baada ya siku saba chukua ndizi zako zile changanya kwenye chombo kimoja kikubwa kisha zitie maji inategemea na vipimo vya ndizi zako,kama ulipika ndoo moja tia maji ndoo mbili, ziache kwa masaa kadhaa kisha tafuta chujio locally unaweza tumia viroba hivi vya kuwekea mchelee kuzichuja ndizi zako ili upate ile juice nyekundu kabisaa..
Kasage ulezi wako(kimea) kisha weka maji ya moto mimina unga wako koroga hakikisha unaiva kabisa na kupata uji zitoo uache upoe..
Chukua ile juice yako ya ndizi kwenye chombo safi pipa au jaba mimina humo kisha chukua ule uji wa ulezi changanya pamojaa...hapo unapata togwa safi kabisaa tenga togwa yako kwa wale wasiotumia kilevi wanaweza kunywa..baada ya hatua hiyo weka msesewe wa kutosha uliosagwa koroga kisha funika....
Subiri kwa siku moja pombe yako itakua tayarii.... wingi wa alcohol kwenye pombe yetu inategemea na ndizi zilizotumika,mda ndizi zilivyokaa kwenye uchachushaji,ulezi n.k
December ndio hiyo wadau twendenii zetu moshi tukapate darasa kwa vitendoo,mimi sio mwelezeaji mzuri sana kwa anaetika kujifunza kwa vitendo asisite kunitafuta
Imeletwa kwenu na hazardihoo
Mahitaji kimjini mjini
1. Ndizi mbivu
2.ulezi
3.msesewe
4.mkaaa
5.ndoo walau 4
5. Maji
Chukua ndizi mbivu zilizoivaa kabisa na kulainika sana,zimenyee kwenye chombo kisafi uziponde ponde( hii inasaidia ziive mapema)..zitie kwennye sufuria zichemshe bila maji mpaka pale zitakapobadilika rangi kabisa na kua na rangi kama kahawi,wakati wakuchemsha zikiwa zinaanza kubadilika rangi weka msesewe husaidia baadae pombe yako kua na ukali..ziepua ndizi zako weka kwenye vikontena usijaze hadi juu na ziache kwa siku saba ndizi zichachuke(zikatike).
Chukua ulezi wako uoshe vizurii na kisha weka kwenye viroba(mifuko iliosha sukari au unga) ziache kwenye mifuko zichujike maji hadi kesho yake, zimimine kwenye sakafu safi zitandaze kwa muda kama masaa 12, sikusanye kwa pamoja zinyunyuzie maji yakutosha kisha changanya hakikisha zote zinapata maji yakutosha,zitandaze tena kisha funika kwa siku moja hadi mbili zianze kuota...baada ya kuota siku mbili zifunue na kuziachanisha kisha kazianike zikaule hapo utakua umepata kimea safii kabisaa...
Baada ya siku saba chukua ndizi zako zile changanya kwenye chombo kimoja kikubwa kisha zitie maji inategemea na vipimo vya ndizi zako,kama ulipika ndoo moja tia maji ndoo mbili, ziache kwa masaa kadhaa kisha tafuta chujio locally unaweza tumia viroba hivi vya kuwekea mchelee kuzichuja ndizi zako ili upate ile juice nyekundu kabisaa..
Kasage ulezi wako(kimea) kisha weka maji ya moto mimina unga wako koroga hakikisha unaiva kabisa na kupata uji zitoo uache upoe..
Chukua ile juice yako ya ndizi kwenye chombo safi pipa au jaba mimina humo kisha chukua ule uji wa ulezi changanya pamojaa...hapo unapata togwa safi kabisaa tenga togwa yako kwa wale wasiotumia kilevi wanaweza kunywa..baada ya hatua hiyo weka msesewe wa kutosha uliosagwa koroga kisha funika....
Subiri kwa siku moja pombe yako itakua tayarii.... wingi wa alcohol kwenye pombe yetu inategemea na ndizi zilizotumika,mda ndizi zilivyokaa kwenye uchachushaji,ulezi n.k
December ndio hiyo wadau twendenii zetu moshi tukapate darasa kwa vitendoo,mimi sio mwelezeaji mzuri sana kwa anaetika kujifunza kwa vitendo asisite kunitafuta
Imeletwa kwenu na hazardihoo