Mapishi ya biriani

Nanasi kwenye kikali? Sijawahi ona live.
Mie nachanganyaga na energy japo kuna siku ilitaka kuniletea kashda, kidogo niimbiwe parapanda.
Cheap energy drink ni mbaya mfano mo energy,Azam energy sio nzurii labda ZILE energy drink expensive kidogo.
Energy drink sio nzurii Sana naziogopa maana zinakataga usingizi pombe ikiisha kichwani.
Jarib hata nanasi ya AFIYA utaona io cocktail yake.

Kuna ambao huchanganya na maziwa fresh 😀 dunia hii Ina maajabu mengi mengi sanaa
 
👏👏👏👏👏
Asante sana kwa maelezo.
Mwachiluwi uje sasa utoe diko kesho.
Sema biriani lina process kama sijui kitu gani!

Yaani unaweza ghahiri kula.
 
Mwanzo nilihisi hivyo nikaenda kununua pale kwa nino ijumaa morocco hali ikawa ivyo ivyo pilau ina uhafadhari tofauti na birian
Ndio ivo wanaripua tu
Wakishaweka marangi ndio wanaona washapika biriani
Pia mchele wa basmat upo kwa grade. Mchele utaopika wewe nyumbani kilo elfu 5 au elfu 6 sio sawa na wa hizo restaurant wanaokoteza tu Michele ya kuitwa basmat kumbe hamna kitu
 
Maziwa kwenye pombe kali?
Sijawahi sikia wala ona
Kweli dunia ina maajabu.

Energy inanipaga shida sana sema ndio hivo sina la kufanya.
Na nikinywa inanipelekesha hoi, sema napenda kale ka stimu kake ndio maana wakati mwingine inakuwaga ngumu kuiacha.
Ila ya maziwa sijawahi kuona, mbali ya kusikia pia
 
Mbona zanzi 😊

Huyo jamaa anachanganya pombekali na maziwa ntaweka ushahidi wa pichaa.
 
👏👏👏👏👏
Asante sana kwa maelezo.
Mwachiluwi uje sasa utoe diko kesho.
Sema biriani lina process kama sijui kitu gani!

Yaani unaweza ghahiri kula.
Madam B hujaona mkate wa kingazija (mkate wa gudugudu) unavyopikwa wee utablow
Mkate huo unapikwa siku nzima 😂😂😂
Katika kukua kwangu nimemuona mamaangu kaupika mara 1 tu.
Ila ukishapikwa unaweza kukaa zaidi ya mwezi mmoja upo fresh hauharibiki
 
Tobaaaa!!!
Siku nzima unapika mkate?
Gudugudu?
Sijawahi hata kuusikia.
Kweli vyakula na vitafunwa viko vya aina nyingi.
Ni kama mkate wa kawaida au upoje upoje huo?
 
Maziwa hayakatiki?
 
Tobaaaa!!!
Siku nzima unapika mkate?
Gudugudu?
Sijawahi hata kuusikia.
Kweli vyakula na vitafunwa viko vya aina nyingi.
Ni kama mkate wa kawaida au upoje upoje huo?
Kwa sura upo kama mkate wa sembe
Lkn kuna unga wake special unapikiwa sijui unaitwa uwanga. Then unawekwa na spices na sukari yake inaunguzwa inakuwa brown. Then unapikwa kama pudding, yaani sufuria ndani ya sufuria ya maji. Kwa moto mdogo mdogo. Inakuwa kazi ya kuongeza maji tu kwenye sufuria ya nje. Sasa ile sauti inayotoka wakati unapikwa ndio hio gudugudu
Hio mikate sio aghlab kuiona inauzwa kama vitafunwa. Ni upishi wa ki Comoro
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…