Mapishi ya biriani

Mapishi ya biriani

Maneno yaliyotoka daslamu ambayo hadi sasa siyaelewi ni biriani, mpalange, kachori na kuna hili nililolisikia muda mrefu nikaja kujua kumbe ni skonsi iliyowekwa mbogamboga katikaki... Nayo si nyingine bali ni pizza.


Kuna chakula kingine kina jina la ajabu kwelikweli nimekisahau jina nilikiona kwa mpishi wa jamiiforum ndugu yetu Mwachiluwi
hii pizza nayo nimeijua juzi baada ya kununua nikidhani ni sambusa kubwa, ila pizza nilikuwa naisikia tu pamoja na burger kumbe ni jamii moja na maandazi, skonzi, mikate, chapati, mzigo wa kuni, visheti, keki na jamii zingine zinazopikwa kwa unga wa ngano. Tofauti ni miundo na vikorombwezo ila ni jamii moja ya vyakula
 
hii pizza nayo nimeijua juzi baada ya kununua nikidhani ni sambusa kubwa, ila pizza nilikuwa naisikia tu pamoja na burger kumbe ni jamii moja na maandazi, skonzi, mikate, chapati, mzigo wa kuni, visheti, keki na jamii zingine zinazopikwa kwa unga wa ngano. Tofauti ni miundo na vikorombwezo ila ni jamii moja ya vyakula
Haya makitu bora tu ninywe supu ya kichwa cha ng'ombe 🤣🤣
 
Skonsi iliyowekwa nyama katikati inaitwa baga sio pizza ndugu.. pizza ni ile inayokua mifano wa chapati
mbona niliuziwa chakula kimekaa mithili ya sambusa ila ni kikubwa na kina pembe nne ndani kuna yai la kuchemshwa na viungo kama kitunguu, hoho, kabeji, choroko nikauliza hii nini nikajibiwa ni pizza. Sasa hiyo kama chapati nayo ni pizza?
 
Hapo kwenye maziwa toa weka mtindi.
Hiko chenye jani ni bay leaf, na ndugu zake akina star anise na wengineo.
Kuna viazi (si lazima)
Napenda kupambia ghee (aina ya samli)
Kuna giligilani
Kuna mchele wa pishori au basmat rice (naona huu kwenye biryani ndio unanoga zaidi)
Sahv watu wamestaarabika maana hawaweki marangirangi.
Na vingine vingi maana biriani kila mtu na umaliziaji wake.

Ila kama una njaa ya kufa, heri upike wali au pilau maana rost la biriani tu kulipika tu ni masaa 4 bado hujaandaa viungo vyake🙌🙌🙌.

Mwachiluwi ....leo Jumamosi tunakula nini?
Wali maharagwe na mboga za majani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom