Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,221
- 79,743
Biriani ni tamu sana 😋Vutunguu visited na rangi ya kuungua, vile brown light ndio biriani inakuwa na ladha nzuri. Hapo kwenye maziwa weka mtindi, kama wa Tanga fresh.
Hujaweka uwiano wa vipimo, mfano kilo moja ya mchele iwe kwa nyama kilo ngapi? Vitunguu maji iwe kilo ngapi? Tungule nazo, mbatata..n.k
Biriani nzuri ni ya nyama ndio ina taste ya soup
Nilipika muda sana sijawai pika tena nikiwa chuo mwaka wa pili so nimesahu af nichakula ambacho kinaniletea effect kwasababu ya viungo that why sijakitilia mananiVutunguu visited na rangi ya kuungua, vile brown light ndio biriani inakuwa na ladha nzuri. Hapo kwenye maziwa weka mtindi, kama wa Tanga fresh.
Hujaweka uwiano wa vipimo, mfano kilo moja ya mchele iwe kwa nyama kilo ngapi? Vitunguu maji iwe kilo ngapi? Tungule nazo, mbatata..n.k
Biriani nzuri ni ya nyama ndio ina taste ya soup
Ni MAKANGE ndugu sio MPALANGEMwenyewe nasikia kwa watu
Yeah, ila rost la biriani tamu jamani.Ongezea na Broccoli kidogo
Maharage....mlenda....tambiWali maharagwe na mboga za majani
Nahamu nayo nimechemsha mda yapo kwa friji leo nimeyakumbukaMaharage....mlenda....tambi
Nakulaga tu ili nisife njaa, ila 😫😫
Choroko nazipenda sana jamani🙌🙌🙌
😋😋😋
Changamoto, Tekenya, kisamvu cha kopo.Maneno yaliyotoka daslamu ambayo hadi sasa siyaelewi ni biriani, mpalange, kachori na kuna hili nililolisikia muda mrefu nikaja kujua kumbe ni skonsi iliyowekwa mbogamboga katikaki... Nayo si nyingine bali ni burger
Kuna chakula kingine kina jina la ajabu kwelikweli nimekisahau jina nilikiona kwa mpishi wa jamiiforum ndugu yetu Mwachiluwi
Mie leo sina mambo mengi. Nikitoka hapa nashushia na Kvant kubwa.Nahamu nayo nimechemsha mda yapo kwa friji leo nimeyakumbuka
Rosti la biriani unaweza kula nalo wali mweupe au ugali?Hapo kwenye maziwa toa weka mtindi.
Hiko chenye jani ni bay leaf, na ndugu zake akina star anise na wengineo.
Kuna viazi (si lazima)
Napenda kupambia ghee (aina ya samli)
Kuna giligilani
Kuna mchele wa pishori au basmat rice (naona huu kwenye biryani ndio unanoga zaidi)
Sahv watu wamestaarabika maana hawaweki marangirangi.
Na vingine vingi maana biriani kila mtu na umaliziaji wake.
Ila kama una njaa ya kufa, heri upike wali au pilau maana rost la biriani tu kulipika tu ni masaa 4 bado hujaandaa viungo vyake🙌🙌🙌.
Mwachiluwi ....leo Jumamosi tunakula nini?
Ndio, unaweza kula ila kuna viungo itabidi vipungueRosti la biriani unaweza kula nalo wali mweupe au ugali?
Biriani ni chakula overrated sanaBirian inasifiwa sijawahi kuielewa,,,, siwezi kula zaidi ya vijiko vinne,,,, maviungo mengi sana, kiungulia chake sasa,,,, ! Nyama inakua laini mno pia
KVANT NIBAKISHIE NUSU😊😊Mie leo sina mambo mengi. Nikitoka hapa nashushia na Kvant kubwa.
Baadae nikajiandae niende SGR kesho niamkie Dar kumalizia weekend.
View attachment 3293991
Huku kijijini kisamvu tunakichuma wenyewe na kukiandaa wenyewe.Changamoto, Tekenya, kisamvu cha kopo.
Katika vyakula nivipendavyo, tambi ni miongoni.Maharage....mlenda....tambi
Nakulaga tu ili nisife njaa, ila 😫😫
Choroko nazipenda sana jamani🙌🙌🙌
Hata mimi sijawahi kuelewa kabisaMwanzoni nilijua birian nkajua tamu Ila hata siku nalila aah nikasema em nisonge ugali mimi......