Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,467
- 65,789
Mimi siwez niliwai pika siku moja nikaharisha nikasema labda nilikosea nikaenda kula kwa nono nikahalisha mpaka leo sili ata nikiliona hapo na ndio chakula cha kwanza kutokipendaMbaya bn, sioni uzuri au sifa ya birian, watu wanasifia balaa,,,, kuna mtu kila wiki lazima ale