Anton mwita
Member
- Dec 24, 2019
- 30
- 16
Usidhani yeye ni mjinga, anajua fika mahakama hiziko huru, na hilo halijaanza leo bali ni toka enzi yeye alipokuwa madarakani. Hata hawa wanaosema mahakama ziko huru sasa, sio kwamba hawajui haziko huru, lakini hawawezi kusema haziko huru wakati wao ndio wanaozifanya zisiwe huru.
Bila shaka hata enzi zake hazikuwa huru so awe mpole