Mapingamizi ya Musiba kwenye kesi yake dhidi ya Membe, yatupwa!

Amenifurahisha na kunistaajabisha hapo kwenye ,, uhuru wa Mahakama” I mean Membe waache wengine waongee lkn siyo wewe, ulikuwa Waziri/Naibu kwa miaka 10 Wizara ya Mambo ya nje, je hiyo Mahakama haikuwa huru hadi ushangilie uhuru wake leo hii?
 
Amenifurahisha na kunistaajabisha hapo kwenye ,, uhuru wa Mahakama” I mean Membe waache wengine waongee lkn siyo wewe, ulikuwa Waziri/Naibu kwa miaka 10 Wizara ya Mambo ya nje, je hiyo Mahakama haikuwa huru hadi ushangilie uhuru wake leo hii?
Nyumbu wanahamishwa tena kwenye mjadala wa Membe na Msiba
 
Amenifurahisha na kunistaajabisha hapo kwenye ,, uhuru wa Mahakama” I mean Membe waache wengine waongee lkn siyo wewe, ulikuwa Waziri/Naibu kwa miaka 10 Wizara ya Mambo ya nje, je hiyo Mahakama haikuwa huru hadi ushangilie uhuru wake leo hii?

Usidhani yeye ni mjinga, anajua fika mahakama hiziko huru, na hilo halijaanza leo bali ni toka enzi yeye alipokuwa madarakani. Hata hawa wanaosema mahakama ziko huru sasa, sio kwamba hawajui haziko huru, lakini hawawezi kusema haziko huru wakati wao ndio wanaozifanya zisiwe huru.
 
Back
Top Bottom