kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,252
- 16,169
Huku kwetu mitaani wafanya vurugu waliandika ujumbe wao kwenye kuta na mawe maneno 'Samia must go'. Ndiyo nikajua ahaaaaaa kumbe hizi vurugu ndiyo namna yenyewe ya kupindua. Nilipoona maandaishi yale nikajua kuwa lazima watakufa watu wengi kama madhumuni ndiyo hayo. Lakini naona serikali bado imesimama hadi leo hii ipo.
Ni nini kitafuatia kwa serikali na wanamapinduzi baada ya mapinduzi kushindwa. Tutarajie kuona nini??
Ni nini kitafuatia kwa serikali na wanamapinduzi baada ya mapinduzi kushindwa. Tutarajie kuona nini??