Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,917
- 6,536
View: https://youtu.be/rRX69RNBKRA?si=iYAr-ihL2RkNcnDY
Video inatrend sasa hivi. Mzee Thani anaelezea jinsi Kassim Hanga alivyouawa kikatili; jinsi wafungwa walivyoteswa gerezani.
Jinsi alivyogambana na Karume kwa sababu alikuwa hataki kumnunulia Mama Fatma Karume vitu vizuri.( Mzaa Thani alikuwa Waziri wa Fedha wakati ule). ;
Anaelezea mambo ya ukatili yaliyofanywa na Ahmed Diria,mambo ya ukatili yaliyokuwa yanafanywa na viongozi karibuni wote wa Mapinduzi walipopewa nafasi kuiongoza idara hii au ile.
Anasema, baada ya kutesa watu,wakageukiana,wakaanza kuuana wenyewe.
Anasema Mapinduzi yalikuwa yana matatizo mengi. Tuchukue dakika tano kuyazomea.
Naomba kuwasilisha.
Naomba kufanya review ya hiyo video