TBO
Senior Member
- Jan 3, 2014
- 194
- 87
Habari zenu wadau , Mimi ni kijana mwenye ndoto za kufanya mapinduzi katika sector ya film Tz ,Nina imani kwa script zangu nilizo kuwa nazo na uwezo wangu wa kuigiza nita weza kufanya vitu adimu ambavyo havija wahi kutokea katika sector ya filamu Tanzania , so nina omba maoni yako kuhusu vitu unavyo ona vina miss katika filamu zetu za bongo...