Samaritan
New Member
- Aug 7, 2020
- 1
- 1
Afrika imegubikwa na matukio ya mapinduzi kwa muda mrefu sasa
Toka miaka ya 1950 mpaka 2020 zaidi ya mapinduzi 206 yameshafanyika
Tatizo liko wapi? Mapinduzi hayo yote viongozi wengine hawajifunzi ?
Mapinduzi yanapotokea jumuiya za kimataifa zinalaani wakati wananchi wa nchi husika wakiwa wanaandamana kudai haki hawapati msaada badala yake mshahara wao ni risasi na malungu ya polisi.
Je nani wa kuwasaidia wananchi?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Toka miaka ya 1950 mpaka 2020 zaidi ya mapinduzi 206 yameshafanyika
Tatizo liko wapi? Mapinduzi hayo yote viongozi wengine hawajifunzi ?
Mapinduzi yanapotokea jumuiya za kimataifa zinalaani wakati wananchi wa nchi husika wakiwa wanaandamana kudai haki hawapati msaada badala yake mshahara wao ni risasi na malungu ya polisi.
Je nani wa kuwasaidia wananchi?
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
