Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Mnyama anaelekea Dubai wao wanasalia AvicSingida anafanikiwa kusonga mbele kwa advantage ya goli 2 alizozipata kwenye jumla ya michezo aliyocheza dhidi ya mpinzani wake Yanga![]()
Mnyama anaelekea Dubai wao wanasalia AvicSingida anafanikiwa kusonga mbele kwa advantage ya goli 2 alizozipata kwenye jumla ya michezo aliyocheza dhidi ya mpinzani wake Yanga![]()
Dunduka kwa kujifariji sasa..!!Lakini mmetolewa
Dunduka, hivi(kujifariji.Tatizo) hili ni neno moja...!?? Maana wewe unajua kuandikaUtopolo kwa kujifariji.Tatizo hawawezi hata kuandika maneno yakaeleweka."Tumetotewa"ndio nini?Au presha ya feri.Kwani mgomo si bado mtaruhusiwa kupanda msijali.
No Chama; no goal, no assist! 😃No Mayele no problem
Walimpanda yule chezaji lao aitwae kambale si unajua kwenye maji anatereeeeezaWalikujaje?
Au walizamia?
Rudia kusoma wewe Utopolo. Wacha kuweka maneno yako yasiyoleta maana. Hujui matumizi ya nukta?Dunduka, hivi(kujifariji.Tatizo) hili ni neno moja...!?? Maana wewe unajua
Nadhani hawewezi kugoma kwa sbb hata nauli ya ndege hawanaKwani mgomo unaendelea?