Kujua unachopaswa kufanya hiyo sio vita kamili hua ni mwanzo tu wa kuenda vitani na kuandaa silaha za kutumiaVita ya ndani ni ile unajua unapaswa kufanya nini lakini unaogopa watakuonaje.
hili ni mada nyingine kabisaWengi hawana filter ya kujua nini wanahitaji, wanafwata maneno ya viumbe wengine wanaishia kuwa ma zombie tu humu duniani
Asante karibu tenaIt's funny but true. Kama unajua wewe ni nani basi vita umeiahinda nusu ila kulifanya lile unalotaka ndo mtihani thabiti
Kama hii idea hauja copy popote basi wewe ni mwanamke mwenye thamani kubwa sana, unajielewa sana uwezo wako wa kufikiri mkubwa.Natoa angalizo kwa wale wa unashinda JF full-time
Huu ni kama ushauri tu kwamba hii mada inakuhusu isome yote ili uanze leo kupigana na hiyo tabia isiyopendeza ya kufatilia ni nani anaingia online sa ngapi na anatoka saa ngapi
Sisi wengine kuandika ni moja wapo ya enjoyment π
Na hii platform sio kama hizo zingine za kupost makalio au kutafuta attention hapa tulio wengi hatufahamiani
na hii inatupa uhuru wa ku share kujifunza kupiga story na kufurahia maisha kwa mtindo huo
kwa wale wote wanaovutiwa na nyuzi zangu guys nipo in love kwenu π₯° nawapenda sanaππ
Twende zetu sasa π€ͺπ
Mapigano yapo ya aina nyingi Umewahi kusikia nchi fulani ikiwa vitani?
Watu husema nchi A inapigana na nchi B. Hayo huitwa mapigano
Pia kuna mapigano kati ya watu wawili, mtu A na mtu B, kama vile yanavyotokea ulingoni( mtu anapigwa hata kwa TKO)
Hata wanyama nao hupigana mfano kuku, mbuzi na wengine
Lakini je, umewahi kujiuliza kama inawezekana mtu kupigana dhidi ya yeye mwenyewe?
Jibu ni ndiyo, inawezekana kuwa na vita au mapigano dhidi yako mwenyewe
Haya ni mapigano ambayo hayapiganwi kwa ngumi wala silaha, bali ni mapambano ya ndani ya nafsi
Ni pale unapogundua kuna kitu ndani yako ambacho hakikufanyi kuwa mtu unayetaka kuwa, hivyo unaamua kukikabili
Mfano unaweza kujijua kabisa una tabia fulani kama wivu, hasira au kutokuwa na subira
Baada ya muda unagundua tabia hiyo haikusaidii wewe wala jamii inayokuzunguka
Hapo ndipo vita vinaanza siyo dhidi ya mtu mwingine, bali dhidi ya hiyo tabia iliyopo ndani yako
Unaanza kujifunza kujizuia kujirekebisha na kuikataa ile hali ambayo haikupi thamani
Kwa mfano, kama zamani ulikuwa huwezi kukaa nyumbani na kila mara ulitamani kutoka, siku moja hamu hiyo inapokuja unaweza kujikuta ukisema
Hapana, siendi leo(unakaza)
Hapo unakuwa umeanza kupigana dhidi yako mwenyewe unayashinda matamanio yako kwa ajili ya lengo kubwa zaidi
Sasa swali la mjadalaπ
Wewe umewahi kuwa na vita au mapigano dhidi yako mwenyewe?
Ni nini kilishinda wewe au kile ulichokuwa unapambana nacho?
Ulipigana kwa muda gani, na ulitumia njia gani kushinda?
Nyongezaπ
Kabla hujaanza mapambano hayo, ni muhimu kujifanyia utafiti wa nafsi yako Jifahamu, tambua tabia zako, haiba yako na vitu vinavyokufanya uwe wewe
Baada ya hapo utaweza kuona kama kuna mambo ndani yako unayoyapenda au kuna mengine ambayo yanahitaji kubadilishwa
Kwa sababu wakati mwingine ushindi mkubwa wa mtu siyo kumshinda mwingine, bali ni kujishinda mwenyewe na kuwa yule mtu ambaye anatamani kuwa
Happy weekend π₯
ShesRise_1 βοΈ
Hongera sana una haki ya kujivunia ushindi wakoMimi nilikuwa napigana na tabia ya pombe,Nina mwezi nimeishinda yaani nilikuwa Niko radhi nishinde na Njaa ili nibugie konyagi, Mungu Mwema nimeishinda Mwenyewe!
Asante mkuu mfano wa hizo emoji?Andiko zuri na linaleta uamsho wa nguvu ya mtu ulio ndani yake. ShesRise_1 punguza kuweka Viimoji kwenye nyuzi zinakuwa zinaleta feelings nyingi ambazo zipo mchanganyiko. Kwa ambao tunaelewa baadhi ya emoji zina maanisha nini
π mizaha, mahaba , ucheshi kwenye uzi kama huu inakuwa haina maanaAsante mkuu mfano wa hizo emoji?
Na ndicho nilicho ainisha mwishoni.Kujua unachopaswa kufanya hiyo sio vita kamili hua ni mwanzo tu wa kuenda vitani na kuandaa silaha za kutumia
Vita kamili ni ile kuchukua hatua
Sure hizi emoji zinakufanya mleta mada aonekane ni mtoto to some extent, au ana utoto fulani... Maana kuzitumia katika context ya mada sensitive kama hii inakua kama unachukilia mzaha. Ingekuwa hoja za mapenzi sawaπ mizaha, mahaba , ucheshi kwenye uzi kama huu inakuwa haina maana
Mkuu asante kwa pongezi zako nimezipokea ππKama hii idea hauja copy popote basi wewe ni mwanamke mwenye thamani kubwa sana, unajielewa sana uwezo wako wa kufikiri mkubwa.
Hii haina umuhimu sanaHata kama sio mrembo.
AsanteNa ndicho nilicho ainisha mwishoni.
Vita hii ni rahisi sana, kuacha kile nafsi haipendi, na kufuata kile nafsi inapenda
Kumbuka ni nafsi, na sio mwili, akili au roho
Dah binadamuππ mizaha, mahaba , ucheshi kwenye uzi kama huu inakuwa haina maana
Mara nyingi unaniambia nina utotoSure hizi emoji zinakufanya mleta mada aonekane ni mtoto to some extent, au ana utoto fulani...
Asante kwa maoniMaana kuzitumia katika context ya mada sensitive kama hii inakua kama unachukilia mzaha. Ingekuwa hoja za mapenzi sawa
Utatumia njia gani heb shareNgoja nianze kupigana peke yangu
That's the issue with you, huku soma vizuri comment yangu?Mara nyingi unaniambia nina utoto
Ila nakushauri pima utoto au utu uzima. Wangu kupitia hoja zangu na sio Emoji
Sikusema wewe ni mtoto nilisema zinakufanya uonekane kama mtoto zingatia hilo next timeSure hizi emoji zinakufanya mleta mada aonekane ni mtoto to some extent, au ana utoto fulani... Maana kuzitumia katika context ya mada sensitive kama hii inakua kama unachukilia mzaha.
Ni kweli ila unatakiwa kupunguza au kujaribu kupunguza Misconception au kudhani mtu anaku attack kila wakati.Hakika siwezi kufurahisha jukwaa zima
Ushauri wako ikibidi nitaufanyia kazi
Kijana nimesema una ni attack ?That's the issue with you, huku soma vizuri comment yangu?
Sikusema wewe ni mtoto nilisema zinakufanya uonekane kama mtoto zingatia hilo next time
Ni kweli ila unatakiwa kupunguza au kujaribu kupunguza Misconception au kudhani mtu anaku attack kila wakati.
Sawa ukipenda malizia dihaSijamaliza kusoma yote,nimeishia hapo in lavu.
Of course me sijawahi kufuatilia nyuzi zako. Lakini leo nilivyo soma hii nimeona umegusia jambo kubwa sana ambalo watu wengi tunapitia especially self discipline, self control, Faith, bad habits, positive attitude n.k.Mkuu asante kwa pongezi zako nimezipokea ππ
Swali kwako wewe ni mgeni wa nyuzi zangu?
Nakujibu hiviπ
Naamini hakuna maneno mapya duniani yote yapo tokea zamani
Lakini namna ya kuyatumia hayo maneno ndio hua tunatofautiana
Maneno niliyoandika hapa yametoka kicwani kwangu kama ambayo hua naandika na nitakavyoendelea kuandika huko baadae
Ukikuta bandiko lolote huko mitandao mingine kinalofanana na hili kwa kila kitu basi angalia ni la muda gani then rudi hapa linganisha
Hii haina umuhimu sana
Sawa,nijifunze.Sawa ukipenda malizia diha