Mapigano dhidi yako mwenyewe πŸ’ͺ

Andiko zuri na linaleta uamsho wa nguvu ya mtu ulio ndani yake. ShesRise_1 punguza kuweka Viimoji kwenye nyuzi zinakuwa zinaleta feelings nyingi ambazo zipo mchanganyiko. Kwa ambao tunaelewa baadhi ya emoji zina maanisha nini
 
Vita ya ndani ni ile unajua unapaswa kufanya nini lakini unaogopa watakuonaje.
Kujua unachopaswa kufanya hiyo sio vita kamili hua ni mwanzo tu wa kuenda vitani na kuandaa silaha za kutumia
Vita kamili ni ile kuchukua hatua

Wengi hawana filter ya kujua nini wanahitaji, wanafwata maneno ya viumbe wengine wanaishia kuwa ma zombie tu humu duniani
hili ni mada nyingine kabisa
It's funny but true. Kama unajua wewe ni nani basi vita umeiahinda nusu ila kulifanya lile unalotaka ndo mtihani thabiti
Asante karibu tena
 
Kama hii idea hauja copy popote basi wewe ni mwanamke mwenye thamani kubwa sana, unajielewa sana uwezo wako wa kufikiri mkubwa.

Hata kama sio mrembo.
 
Mimi nilikuwa napigana na tabia ya pombe,Nina mwezi nimeishinda yaani nilikuwa Niko radhi nishinde na Njaa ili nibugie konyagi, Mungu Mwema nimeishinda Mwenyewe!
Hongera sana una haki ya kujivunia ushindi wako
 
Andiko zuri na linaleta uamsho wa nguvu ya mtu ulio ndani yake. ShesRise_1 punguza kuweka Viimoji kwenye nyuzi zinakuwa zinaleta feelings nyingi ambazo zipo mchanganyiko. Kwa ambao tunaelewa baadhi ya emoji zina maanisha nini
Asante mkuu mfano wa hizo emoji?
 
Kujua unachopaswa kufanya hiyo sio vita kamili hua ni mwanzo tu wa kuenda vitani na kuandaa silaha za kutumia
Vita kamili ni ile kuchukua hatua
Na ndicho nilicho ainisha mwishoni.
Vita hii ni rahisi sana, kuacha kile nafsi haipendi, na kufuata kile nafsi inapenda

Kumbuka ni nafsi, na sio mwili, akili au roho
 
😜 mizaha, mahaba , ucheshi kwenye uzi kama huu inakuwa haina maana
Sure hizi emoji zinakufanya mleta mada aonekane ni mtoto to some extent, au ana utoto fulani... Maana kuzitumia katika context ya mada sensitive kama hii inakua kama unachukilia mzaha. Ingekuwa hoja za mapenzi sawa
 
Kama hii idea hauja copy popote basi wewe ni mwanamke mwenye thamani kubwa sana, unajielewa sana uwezo wako wa kufikiri mkubwa.
Mkuu asante kwa pongezi zako nimezipokea πŸ™πŸ™

Swali kwako wewe ni mgeni wa nyuzi zangu?
Nakujibu hiviπŸ‘‡

Naamini hakuna maneno mapya duniani yote yapo tokea zamani

Lakini namna ya kuyatumia hayo maneno ndio hua tunatofautiana

Maneno niliyoandika hapa yametoka kicwani kwangu kama ambayo hua naandika na nitakavyoendelea kuandika huko baadae

Ukikuta bandiko lolote huko mitandao mingine kinalofanana na hili kwa kila kitu basi angalia ni la muda gani then rudi hapa linganisha

Hata kama sio mrembo.
Hii haina umuhimu sana
 
Sure hizi emoji zinakufanya mleta mada aonekane ni mtoto to some extent, au ana utoto fulani...
Mara nyingi unaniambia nina utoto

Ila nakushauri pima utoto au utu uzima. Wangu kupitia hoja zangu na sio Emoji
Maana kuzitumia katika context ya mada sensitive kama hii inakua kama unachukilia mzaha. Ingekuwa hoja za mapenzi sawa
Asante kwa maoni
Hakika siwezi kufurahisha jukwaa zima
Ushauri wako ikibidi nitaufanyia kazi
 
Mara nyingi unaniambia nina utoto

Ila nakushauri pima utoto au utu uzima. Wangu kupitia hoja zangu na sio Emoji
That's the issue with you, huku soma vizuri comment yangu?
Sure hizi emoji zinakufanya mleta mada aonekane ni mtoto to some extent, au ana utoto fulani... Maana kuzitumia katika context ya mada sensitive kama hii inakua kama unachukilia mzaha.
Sikusema wewe ni mtoto nilisema zinakufanya uonekane kama mtoto zingatia hilo next time
Hakika siwezi kufurahisha jukwaa zima
Ushauri wako ikibidi nitaufanyia kazi
Ni kweli ila unatakiwa kupunguza au kujaribu kupunguza Misconception au kudhani mtu anaku attack kila wakati.
 
Kijana nimesema una ni attack ?
please
Unajua kabisa mimi na wewe hatujawahi kua na mitazamo sawa

Na hilo nimekili mara nyingi ikiwemo kujiepusha na mada zako hata quote zako

Na hili ni ombi lingine naleta kwako kwa mara ya pili tafadhari sana sijisikii happy kujibishana na wewe popote πŸ™
 
Of course me sijawahi kufuatilia nyuzi zako. Lakini leo nilivyo soma hii nimeona umegusia jambo kubwa sana ambalo watu wengi tunapitia especially self discipline, self control, Faith, bad habits, positive attitude n.k.

β€ŠK
iufupi hili jambo ulilo_liandika hapa ni tiba lakini pia ni jambo muhimu na pana sana (nimewahi kufundisha mahali kuhusu hili jambo watu wengi sana walipona vidonda walivyo kuwa wana jiumiza wao wenyewe bila kujua). So hongera sana.

Yes urembo sio muhimu ukiwa na uwezo mzuri wakufikiri kama hivi unakuwa umesha kamilika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…