Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,360
- 68,449
nyumbani kwa Marais wastaafu wa Marekani George Bush Sr na George Bush Jr.
Poleni wahanga wote.
Poleni wahanga wote.
Kweli sizonje hapaswi kulaumiwa kwa maamuzi yake ya kukurupuka kama na wewe unaweza kukurupuka hivi, kwani wewe umejuaje kama ana familia ???Jamaa kaamua kuokoa mbwa na kuacha familia ikiangamia.
Mtambuzi hivi haya mapenzi ya kuwapenda wanyama zaidi kuliko kuwapenda binadamu wenzako, nini chanzo na sababu yake?
![]()
Labda hawapo mabondeni mkuuIngetokea bongo ungeambiwa wanaoishi mabondeni wahame.na nyumba zibomolewe.
Ila huko sijaona nyumba kubomolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wa kwetu alisema serikali haina shambaDonald alikuwepo jana, kawatembelea na kaahidi kuwapa full support! Na siku si nyingi atarudi tena, wenzetu viongozi bado ile roho ya huruma ipo kiasi flani.
Sent using Jamii Forums mobile app
yaan ,mtu aache watoto wake ndani wanakufa aende akaokoe mbwa? kweli jamaa hapo juu kakurupuka tena mkurupuko haswaKweli sizonje hapaswi kulaumiwa kwa maamuzi yake ya kukurupuka kama na wewe unaweza kukurupuka hivi, kwani wewe umejuaje kama ana familia ???
Sent using Jamii Forums mobile app
Yasitokee popoteHaya majanga ni kumuomba Mungu yasitokee kwetu, madhara yanakua makubwa sana na Siasa zinaingia, mara utasikia michango ya watu kuhusiana na maafa imepangiwa kazi nyingine na kadhalika
Aliye kwambia huyo anafamilia nani ??[emoji36]Jamaa kaamua kuokoa mbwa na kuacha familia ikiangamia.
Mtambuzi hivi haya mapenzi ya kuwapenda wanyama zaidi kuliko kuwapenda binadamu wenzako, nini chanzo na sababu yake?
![]()
Wengi tu wameokoa mbwa yupo mwanamke na kuna moja jamaa anaogelea halafu pembeni mtumbwi umebeba mbwaJamaa kaamua kuokoa mbwa na kuacha familia ikiangamia.
Mtambuzi hivi haya mapenzi ya kuwapenda wanyama zaidi kuliko kuwapenda binadamu wenzako, nini chanzo na sababu yake?
![]()
Kimbunga hiki si sawa na mafuriko ya bongo. Wenzetu wamejenga katika maeneo sahihi, lakini nguvu ya kimbunga huleta athari mahali popote. Tuache kushabikia bila uelewa. Umejenga bondeni tena kusikopimwa na kuruhusiwa kwa makazi bado mkipata matatizo eti serikali haiwajali.Ingetokea bongo ungeambiwa wanaoishi mabondeni wahame.na nyumba zibomolewe.
Ila huko sijaona nyumba kubomolewa.
Sent using Jamii Forums mobile app