Mustafa Maketa
Member
- Dec 3, 2013
- 9
- 0
siku hizi mapenzi umekuwa mchezo mbaya sana inatokea umempenda msichana alafu unakuta anafanya mahusiano la rafiki yako kabisa hivi mwanawake wa siku nashindwa kuelewa sijui wanamatatizo gani kwasababu vitendo wanavyo fanya si vizuri kabisa .je tufanyaje kuzuia tatizo hili maana linakera sana
halafu siku nyingine uandike vizuri sio kama umekurupushwa ndugu, mapenzi ndivyo yalivyo kama hutaki kuumia kua mr.lonely, just simple.
Mkono mtupu haulambwi na mbwa
Halafu kwA nini unamlaumu mdada peke yake...mbona usimlaumu na rafiki yako anaekumegea kakiburudisho kako...
Mtuache.
siku hizi mapenzi umekuwa mchezo mbaya sana inatokea umempenda msichana alafu unakuta anafanya mahusiano la rafiki yako kabisa hivi mwanawake wa siku nashindwa kuelewa sijui wanamatatizo gani kwasababu vitendo wanavyo fanya si vizuri kabisa .je tufanyaje kuzuia tatizo hili maana linakera sana
mkuu kuwa lonely ni shida!!!! niulize mimi niliye kwenye lonely premier league!
ni majanga tu!
tuwaache mmegwe ovyo ovyo si ndiyo?
mmhhh!! nalikumbuka sana lile janga la mombasa!
Siku hizi ngoma droo....
We mega kwa shosti wangu....
Na mie namegwA na rafiki yako...
Ikikuuma tulaumu wote mie na rafikiyo siyo mi peke yangu....
Nasisitiza mtuache...
hahahaa hiyo ndo ipi tena ndugu?
mume akimegewa ndio inauma! sio mke!
siku hizi mapenzi umekuwa mchezo mbaya sana inatokea umempenda msichana alafu unakuta anafanya mahusiano la rafiki yako kabisa hivi mwanawake wa siku nashindwa kuelewa sijui wanamatatizo gani kwasababu vitendo wanavyo fanya si vizuri kabisa .je tufanyaje kuzuia tatizo hili maana linakera sana
Mapezi ya samaki
tuwaache mmegwe ovyo ovyo si ndiyo?
mmhhh!! nalikumbuka sana lile janga la mombasa!