Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,107
Kwa kifupi huwa napenda uhuru hasa ninapokuwa kwenye mahusiano! Kwenye maongezi ama chating sipendi maswali mengi mengi yasiyokuwa na tija,ama upo wapi? unafanya nini? Na nani? Kwa nini? ili iweje?
Demu anapogeuka askari mpelelezi kwenye maisha yangu kwangu mimi nakereka sana! Mwanamke anayelazimisha mchati usiku kucha bila jambo lolote la msingi na hana hoja yoyote ya muondelezo wa story huwa naboreka sana!
Mwanamke anayekuja gheto mara kwa mara bila taarifa yeyote ni kero iliyotukuka! Nimeshawahi kuacha mwanamke kwa sababu tu alikuwa anakuja ghetto wakati wowote siku yoyote bila taarifa na hata siku moja hajawahi kunipa taarifa kwa muda wa mwaka mzima aisee nilivumilia hata nikaamua kuachia ngazi maana ukimwambia anakuwa Mkali!
Mapenzi yakuchunguzana kwangu ni big No!
N:B, Mchunguze tu endapo ni mkeo ama mumeo ili ujue unaishi na mtu wa namna gani na wale sio mpita njia
Demu anapogeuka askari mpelelezi kwenye maisha yangu kwangu mimi nakereka sana! Mwanamke anayelazimisha mchati usiku kucha bila jambo lolote la msingi na hana hoja yoyote ya muondelezo wa story huwa naboreka sana!
Mwanamke anayekuja gheto mara kwa mara bila taarifa yeyote ni kero iliyotukuka! Nimeshawahi kuacha mwanamke kwa sababu tu alikuwa anakuja ghetto wakati wowote siku yoyote bila taarifa na hata siku moja hajawahi kunipa taarifa kwa muda wa mwaka mzima aisee nilivumilia hata nikaamua kuachia ngazi maana ukimwambia anakuwa Mkali!
Mapenzi yakuchunguzana kwangu ni big No!
N:B, Mchunguze tu endapo ni mkeo ama mumeo ili ujue unaishi na mtu wa namna gani na wale sio mpita njia