Mapenzi yapo uswazi



Kama umepanick flani hivii....!
 

Mechi za uswazi hazina mbwembwe pakumpeleka unachagua mwenyewe ilimradi sehem yenyestara kwa Lugha nyepesi inaitwa Kambi popote...nakm utakuwa unamtupia chochote km buku mbili hivi daaah....Utakuta kutwa nzima mtu yuko anaplan namna yakukufurahisha kwenye mechi wacha kabisa sasa zakishua Kwanza anakuchagulia pakwenda kupiga nae show pia hawanaga uwezo wakuhimili mechi...Pamoja name vituko vya uswazi lkn Burdani ipo
 

Hao watoto uswaz ukitaka mechi tena bila gharama unaenda na ndinga hata ya kuazima full tinted na kipupwe cha kutosha na kama gia ya manual ndo unasindikiza mkono kwenye paja badala ya kukuambia umekosea, anaanza kujichekelesha ili usitoe mkono.
 
Ahaaaa ahaaaaa ahaaaaa uswazi rahaaaaaa
 
Sehemu nyingine uswazi kuishi inabidi uwe na roho ngumu
 
Tatizo la mademu wa uswazi sababu ya njaa zao vigonjwa vya zinaa na UTI ni vitu vya kawaida. Vingine vinapenya mpaka c*ndom
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…