Kwa hiyo utaiambia sabuni?
Duniani hapa hakuna kitu kinachoumiza kama mapenzi haswa ukute unampenda mtu hakupendi, au unampenda mtu anakutenda. Baada ya misukosuko mingi ya kimapenzi sitapenda tena! wala sitojaribu kumwambia msichana/mwanamke "nakupenda"
mapenzi hayakwepeki wether unataka au hautaki hata upige job mass 16 kwa siku huwezi ukakosa time ya kuyawaza walau kuyafikiria hata kidogo.
hahahahawalau yale mambo yetu ya sabuni na kikopo
mnatulia bafuni
team bazazi mpooo??
sio kesi its you who should throw the coin you can have a sex without relationship or you can relationship without sex if that s suit you kama huwezi kuvihandle vyote viwili kwa pamoja na vinakuumiza mtima wakoDuniani hapa hakuna kitu kinachoumiza kama mapenzi haswa ukute unampenda mtu hakupendi, au unampenda mtu anakutenda. Baada ya misukosuko mingi ya kimapenzi sitapenda tena! wala sitojaribu kumwambia msichana/mwanamke "nakupenda"
hahahaha
mi sio teamrafiki jamani mi #teamrafiki na hayo mambo ni kwa watotot wadogo wanobaleghe sio sio ssisi watu wazima.
Kwani akiwa na mke ndio hawezi kuumizwa na mapenzi? Kwamba gf/bf ndio wanaumiza tu kimapenzi?Kwanza pole kaka, thn usiseme ilo neno kabisa, unajua kwamba % ndogo sana ya wachumba ndio wanaokua wanandoa? Wanandoa waliowengi na wanaoishi kwa amani ni wale wasiofahamia kabla....ndoa nyingi ni kama suprise kwa kila mmoja....nnachokushauri tafuta wakuoa sasa sio girlfriend
Duniani hapa hakuna kitu kinachoumiza kama mapenzi haswa ukute unampenda mtu hakupendi, au unampenda mtu anakutenda. Baada ya misukosuko mingi ya kimapenzi sitapenda tena! wala sitojaribu kumwambia msichana/mwanamke "nakupenda"