MADIDINGWA
Senior Member
- Jul 26, 2012
- 118
- 15
poleee mwenzio nishakuwa sugu.. nimeachwa nikaacha so nimeshazoea. usiseme hutopenda utakuja kupenda tena. kikubwa tu ni kumwomba Mungu akupe anaekupenda na ww pia umpende.
Duniani hapa hakuna kitu kinachoumiza kama mapenzi haswa ukute unampenda mtu hakupendi, au unampenda mtu anakutenda. Baada ya misukosuko mingi ya kimapenzi sitapenda tena! wala sitojaribu kumwambia msichana/mwanamke "nakupenda"
unampa mtu moyo asilimia mia afu anajua, mwisho maumivu yasiyopona ..
yaani sina hisia hata kidogo
pole sana,tupo wengi sana tulioumizwa!kwa jinsi me nilivyotendwa kwakweli mpk sasa mwanaume akinitongoza naogopa mno!bora kuwa pekee tu kuliko kupenda mtu asiyejua thamani yako.
mimi nimeamua nipiikgike job tu yaan nadhan ndo mkomboz wangu vinginevyo janga
tafuta tu ela
Kwanza pole kaka, thn usiseme ilo neno kabisa, unajua kwamba % ndogo sana ya wachumba ndio wanaokua wanandoa? Wanandoa waliowengi na wanaoishi kwa amani ni wale wasiofahamia kabla....ndoa nyingi ni kama suprise kwa kila mmoja....nnachokushauri tafuta wakuoa sasa sio girlfriend
ha haaa, rafiki tusubiri tu, muda si mrefu atatuambia jinsi alivyozama mapenzini......Time will tell!!!
ha haaa, rafiki tusubiri tu, muda si mrefu atatuambia jinsi alivyozama mapenzini......
haka kaujumbe kake huwa watu wengi wanakatumiaga lakini wanashindwa kukaishi, chezeya mapenzi weye
tuwe na subra tu rafikiAtakuja kuyakana aliyoandika rafiki,mapenzi!!!