raia_mwema
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 479
- 314
Duniani hapa hakuna kitu kinachoumiza kama mapenzi haswa ukute unampenda mtu hakupendi, au unampenda mtu anakutenda. Baada ya misukosuko mingi ya kimapenzi sitapenda tena! wala sitojaribu kumwambia msichana/mwanamke "nakupenda"