Mapenzi yanaumiza

Mapenzi yanaumiza

Hivi kwa maisha ya sasa unaanzaje kumwamin mwenziwe kwa 100% matokeo yake ndio kulialia ,siku zote uwe na plan B ikiwezekana hata na plan C
Ha haa nimependa hapo plan B... Ngoja namie niwe nayo just in case
 
Nasi pia tunakupenda, kaa chini fikiria watu wanaokuhitaji zaidi ya huyo kibaka wa mapenzi. Wazazi wako, ndugu zako rafiki pamoja na jamii kwa ujumla. Hebu fikiria utawaumiza kiasi gani eti sababu tu ya kikojoleo kimoja??? Acha utoto hapo umejikwaa tuu we endelea na safari yako ya maisha na kama umeanguka basi simama jifute vumbi endelea mbele. Maisha ni haya haya bwana na Adam wako yupo somewhere Mungu atawakutanisha. Love you mamy
 
nikikataa wanaume watu wanasema ooh nimechanganyikiwa ni upuuzi kuwekeza kwenye mapenzi ,mwaka mzima umewekeza kwa mtu ona faida yake ila ungekuwa umewekeza kwenye maisha ungenunua japo vihisa vyako crdb au nmb siku kumi zijazo ungepata gawio lako japo dogo .asante Mungu kunipa uvumilivu .
pole sana mdada usijiue maisha ndivo yalivo humu
Kwahiyo wewe huna mpenzi????
 
Ha haa nimependa hapo plan B... Ngoja namie niwe nayo just in case
Kwa cc ambao bado hatujaoa tumeshaweka plan A-C mambo ya kulialia hatuna muda nayo, ni mwendo wa kumake Money sio kuumiza kichwa kwa vitu vidogo
 
Nimekupenda with all my heart regardless hali duni yako.Nimekataa nusra kibao kwa ajili yako.Sikua mchoyo kwa chochote changu tulishirikiana,leo umeamua kufunga mwaka na mimi.Najua unanisoma hapa na ushajifahamu ila tambua siku zote ukimfanyia mtu madhila tegemea kulipwa hapa hapa akhera twaenda kuchukua hisabu tu..
Nachukua fursa hii kukuageni wana MMU wote na jf kwa ujumla nataka kuchukua maamuzi magumu.asanteni nawapenda
Unataka kujinyonga sababu ya papuchi au muwa?
Mijitu ya bara kwa mapenzi bado sana aisee
Wanawake/wanaume wapo kila kona,akizingua mmoja unavuta mwingine
Acha upuuzi wako wewe
 
Nachukua fursa hii kukuageni wana MMU wote na jf kwa ujumla nataka kuchukua maamuzi magumu.asanteni nawapenda
Kabla hujaondoka MMU hivi ushawahi kujiuliza kama huyo mwanaume ameondoka kwako baada ya Mola kumuona hana kheri na wewe? na kukuletea mwenye Kheri na wewe nikimaanisha ndoa huandikwa mbinguni na Mola na kukupa mwenye kheri na wewe. usichukuwe maamuzi yenye kuleta madhara duniani na kesho akhera, Jaribu kuondoa tatizo sio kuongeza tatizo. nakutakia maamuzi mema na yaliokuwa na wepesi
 
kwa mfano ukichukua maamuzi magumu ya kujiua kwa sababu ya kuachishwa dhambi ya kuzini,mungu atakupokea kwa heri au shari,coz jamaa kukuacha manaa yake utapumzika kuduu ivyo utakua uvuni dhambi tena
 
Jamani mtoa post...hujambo...upo dear....!!au maamuzi ndio tayari
 
Habari za jioni,napenda kuwashukuru wote mliojali na kuamua kutoa muda wenu kunishauri hapa ama pm asanteni sana.Kiukweli mmenipa moyo wa ujasiri na sasa nipo ok na imara kiasi cha kuweza kukabiliana na challenge yoyote ile ntakayokumbana nayo.again thanx people,be blessed,and I love you.
 
Back
Top Bottom