Mapenzi yanaumiza

nikikataa wanaume watu wanasema ooh nimechanganyikiwa ni upuuzi kuwekeza kwenye mapenzi ,mwaka mzima umewekeza kwa mtu ona faida yake ila ungekuwa umewekeza kwenye maisha ungenunua japo vihisa vyako crdb au nmb siku kumi zijazo ungepata gawio lako japo dogo .asante Mungu kunipa uvumilivu .
pole sana mdada usijiue maisha ndivo yalivo humu
Miss Natafuta mama kupotea njia ndio kujua njia

Hatuwezi kufanana hata vidole vya mikono Na miguu havifanani

Mapenzi yana nafasi yake Na hizo hela zina nafasi yake

Tumeumbiwa kupenda kuumia Na kusahau

N kitendo cha mda tu this too shall pass

Good men are for good women and vice versa is true
 
Miss Natafuta mama kupotea njia ndio kujua njia

Hatuwezi kufanana hata vidole vya mikono Na miguu havifanani

Mapenzi yana nafasi yake Na hizo hela zina nafasi yake

Tumeumbiwa kupenda kuumia Na kusahau

N kitendo cha mda tu this too shall pass

Good men are for good women and vice versa is true
unaongea tu mamy ! ila yote yana mwisho
 
Deka unavyo Deka kama mtoto
Nitakubembeleza mimi wako oh
Nita zidi kupa vitu moto moto
Mapenzi kupendana sii mchezo
Nakusihi usijeniacha mimi solemba
Najisihi na mimi nisije kuacha wewe solemba

Usiende mbali nami
Kwani bado nakupenda
Usiondoke mbali nami
Mimi bado nakupenda

Ma umi vu ya mapenzi naogopa sanaa
Hata wivu ni nao kwani sina roho ya chuma.
Nahisi wewe ndio unaesemewa Napa
 
Nimekupenda with all my heart regardless hali duni yako.Nimekataa nusra kibao kwa ajili yako.Sikua mchoyo kwa chochote changu tulishirikiana,leo umeamua kufunga mwaka na mimi.Najua unanisoma hapa na ushajifahamu ila tambua siku zote ukimfanyia mtu madhila tegemea kulipwa hapa hapa akhera twaenda kuchukua hisabu tu..
Nachukua fursa hii kukuageni wana MMU wote na jf kwa ujumla nataka kuchukua maamuzi magumu.asanteni nawapenda
Achana na Huyo, kumuwazia ni sawasawa na kusikitikia M. A. V. I yangebaki ungepata shida zaidi bora Huyo mlalahoi amejitoa. Kuna wanaume zaidi ya bilioni sayari hii, Tupa huko Hilo lonyalonya
 
Wewe sio wa kwanza na wala hutokua wa mwisho kuumizwa au kupitia hayo unayoyapitia.
Jikaze futa machozi songa mbele.
Ukiweza kulipita hili jaribu hata hayo mengine yatakayofuta ya kimapenzi utaweza kuyavumilia.
Mapenzi hayana wenyewe na kama wapo ni wachache wengi tunatembea mulemule kwenye maumivu
 
Wewe sio wa kwanza na wala hutokua wa mwisho kuumizwa au kupitia hayo unayoyapitia.
Jikaze futa machozi songa mbele.
Ukiweza kulipita hili jaribu hata hayo mengine yatakayofuta ya kimapenzi utaweza kuyavumilia.
Mapenzi hayana wenyewe na kama wapo ni wachache wengi tunatembea mulemule kwenye maumivu
Wala sio uongo nyani Mzee hukoswa Na mishale mingi

Kufikiria kuchukua maamuzi mabaya so solution

N kiasi cha kuona nmtihani tu Na mitihani ikupatayo tambua imo ndani ya uwezo wako kuitatua

Atakua sawa naamini
 
nikikataa wanaume watu wanasema ooh nimechanganyikiwa ni upuuzi kuwekeza kwenye mapenzi ,mwaka mzima umewekeza kwa mtu ona faida yake ila ungekuwa umewekeza kwenye maisha ungenunua japo vihisa vyako crdb au nmb siku kumi zijazo ungepata gawio lako japo dogo .asante Mungu kunipa uvumilivu .
pole sana mdada usijiue maisha ndivo yalivo humu
Hapa ndo uwa nasema cwez mlaumu mdada anaetembea na watu wazma ujui kaptia mangap had aafanye maamuz ya hvo
 
Pole shosti. Uyo dawa yake tafuta kijana mzuri aliyeshiba kiasi utoke naye out. Then unapiga naye picha na unapost kwenye whastp na fb wall yako.
 
Pole shosti. Uyo dawa yake tafuta kijana mzuri aliyeshiba kiasi utoke naye out. Then unapiga naye picha na unapost kwenye whastp na fb wall yako.
Unaweza usimuumize, kiki Za hivyo zinamgusa anayekupenda kweli Wengine waigizaji tu
 
Pole shosti. Uyo dawa yake tafuta kijana mzuri aliyeshiba kiasi utoke naye out. Then unapiga naye picha na unapost kwenye whastp na fb wall yako.
Haina haja

Tena ataonekana anafanya maksudi kabisaaa kwanza ya nini haya

Ajikaze japo yanauma alie atakavyoweza kuondoa lile linalomkabili

Ataweza kumsahau japo itamgharim
 
Mkuu subiri kwanza xmass na mwaka mpya vipite ili ujiue mwezi wa kwanza hii itatusaidia kula Tena pilau la hitma miezi ya pili hivi , maana ukiunganisha SAA hizi na hizi siku kuu hapana
 
Deka unavyo Deka kama mtoto
Nitakubembeleza mimi wako oh
Nita zidi kupa vitu moto moto
Mapenzi kupendana sii mchezo
Nakusihi usijeniacha mimi solemba
Najisihi na mimi nisije kuacha wewe solemba

Usiende mbali nami
Kwani bado nakupenda
Usiondoke mbali nami
Mimi bado nakupenda

Ma umi vu ya mapenzi naogopa sanaa
Hata wivu ni nao kwani sina roho ya chuma.
Best hebu muelewane asee
Mambo ya kumuacha na nyimbo tuu sja kuelewa
[/QUOTE]
 
Kuwaza maamuzi magum Na mabaya n ujinga

Imagine watu wako wa karibu wanavyokuchukulia

Leo ukajitoe mhanga sababu mwanaume mmoja tu

Jifunze kama hukupangiwa awe wako hawezi Kua hata Kwa dawa

Tena ukifosi yaweza kukuta mabaya ukajutia uamuzi wa kulazimisha

Jifunze kumwacha aende

Amekupa fundisho but hey not all men are the same

Watakutreat the way unavyojieka

Maamuzi unayoyataka kuyafanya jeee aliokutuma Mola wako umeyakamilisha?

Please don't do that
Noo! Let her do what she want
 
Back
Top Bottom