mamaafacebook II
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,513
- 3,533
Miss Natafuta mama kupotea njia ndio kujua njianikikataa wanaume watu wanasema ooh nimechanganyikiwa ni upuuzi kuwekeza kwenye mapenzi ,mwaka mzima umewekeza kwa mtu ona faida yake ila ungekuwa umewekeza kwenye maisha ungenunua japo vihisa vyako crdb au nmb siku kumi zijazo ungepata gawio lako japo dogo .asante Mungu kunipa uvumilivu .
pole sana mdada usijiue maisha ndivo yalivo humu
Hatuwezi kufanana hata vidole vya mikono Na miguu havifanani
Mapenzi yana nafasi yake Na hizo hela zina nafasi yake
Tumeumbiwa kupenda kuumia Na kusahau
N kitendo cha mda tu this too shall pass
Good men are for good women and vice versa is true