Mapenzi yanaumiza

Mapenzi yanaumiza

Hiyo ni learning process anatakiwa ipitie kikamilifu i think its better we let her be. She ll learn.
Though i applaud your idea pia
Bas naona nafuu alie awezavyo alie sana kuondoa yaliyokuwamo moyoni Ila la kujidhuru naona atafika mbali Na kubaya zaidi
 
Mapenzi yetu mengi ya uongo. Mtu anajifanya anakupendaaaa kumbe yuko kwenye kuigiza na kiuhalisia wala hakupendi. Kuwa na kiasi katika love.
 
Unajiua? unarudi kijijini au hutaki tena mapenzi? Au unaenda kujenga ukuta maana yote ni maamuzi magumu!
 
Mwaka unaoondoka huooo!! Hata uupende vipi!!! Ni lazima uuache uende!!
 
Mapenzi yanaumiza jamani,,.,sishangai mtu akilia,,,,it hurts alot,,,,mtu hathamini upendo Wako,muda Wako anakubwaga Tu,,,mm sitaki Ata kusikis ntakuwa hivi mpaka mungu aamue mwenyewe.nimenyoosha mikono juu,,,,,.moyo,wangu koma kupenda kabisa,
 
Unajuwa sis binadamu huwa tunalazimisha mambo kwa mfano unalazimisha lazima mtu fulani aniowe ujue kuna wqnawake wazur kwa kuuza sura wengine wazur kwa kufanya nao ngono ila wengine wanafaa kuwa wake na walez wazur wa familia. Unakuta mwanamke upo nae mjeur. Mjuwaji kila kitu yeye anajuwa .ukimwambia kitu anachujulia powa ubazani kuna mwanaume wa kizazi hiki atakuowa.. tatizo mnatamaa sana wadada punguzeni mpende mtu kwa moyo mmoja jifunze kumnyenyekea boy wako mbembeleze uone kama hatangangania kukuowa na raha ya ndoa aseme mwanaume sio mtoto wa kike unajingananiza ndoa matokeo yake unakimbiwa kanisani siku ya tukio.mim nilikuwa na girl niko naishi nae mkoa tofaut yey miez tisa au mwaka unapita aje akuone siku mbili anakwambia tuvumilie bize ba hela tu na ukiangalia mia tano ukimuomba akuazime hana basi akatokea mtoto mmoja nilimuliza mungu kwa nin huwa tunasumbuka asinioneahe mapema mtu wangu huyu yupo mpole wa kiasi anajali hata ninapoumwa na mafua tu hapendi kuomba omba hela anajiheshimu muonekano wake hadi mavaz yake anamuheahimu mungu na wanadamu.nikasema nikiwa sijamuowa huyu basi tena nisiowe tena nikatafute wa kutembea matako waz siwawez. Badilikeni wadada ndoa sio bongo movi
Atajirekwbisha kasema
 
Pole shosti. Uyo dawa yake tafuta kijana mzuri aliyeshiba kiasi utoke naye out. Then unapiga naye picha na unapost kwenye whastp na fb wall yako.
Halaf hiyo itasaidia nn?!
 
Nimekupenda with all my heart regardless hali duni yako.Nimekataa nusra kibao kwa ajili yako.Sikua mchoyo kwa chochote changu tulishirikiana,leo umeamua kufunga mwaka na mimi.Najua unanisoma hapa na ushajifahamu ila tambua siku zote ukimfanyia mtu madhila tegemea kulipwa hapa hapa akhera twaenda kuchukua hisabu tu..
Nachukua fursa hii kukuageni wana MMU wote na jf kwa ujumla nataka kuchukua maamuzi magumu.asanteni nawapenda

Mi nakushauri ufanye tu hayo maamuzi yako magumu alaf urudi utupe mrejesho kama yanalingana na maumivu unayojidai kuleta hapa.

We sio malaika kwa iyo usitake kumnyanyasa mshkaji kwa kuwa ni maskini...
 
Hivi kwa maisha ya sasa unaanzaje kumwamin mwenziwe kwa 100% matokeo yake ndio kulialia ,siku zote uwe na plan B ikiwezekana hata na plan C
 
Back
Top Bottom