Mapenzi yanauma

Usiombe umpende mtu haswa halafu yeye akuoneshe dharau asiwe na upendo nawewe asee

Dunia utaiona chungu
ikiwa una ufahamu na uelewa wa kutosha juu ya mapenzi, mahusiano, uchumba na ndoa, huwezi sumbuka wala kubabaika na kutetereka saaana, ikitokea changamoto. Muhimu zaidi uwe na cha kufanya cha uhakika, cha kusongesha maisha 🐒
 
Back
Top Bottom