Mapenzi yanauma

vinneboy

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2015
Posts
478
Reaction score
436
Usiyasikie mapenzi ukadhani ni kitu cha mchezo, saa nyingine watu hujiua kwa ajili ya mapenzi, wengine hupoteza kazi na hata ramani ya maisha, hivyo usisikie mapenzi ukayachukulia kitu rahisi.

Ukisikia mtu kaoa muheshimu sana, pia wewe mwanamke ulie ndani ya ndoa muheshimu mumeo na mume ndani ya ndoa muheshimu sana mkeo, maana shida na matatizo yako anayajua yeye, huyo wa pembeni akuna anachokijua.

Usiruhusu tamaa ikatawala na kuharibu ndoa yenu au mahusiono yenu

Asanteni.
 
Hawa ni zaidi ya nyoka hawatakiwi huruma
 
Mkuu kwema?? Mbona umeianza asubuhi kwa kulalamika hivyo?
 
nahisi siku izi kwenye mapenzi hakuna heshima ndo maana kusalitiana kwingi.. na visasi
 
Hao WADUDU ni pamoja na mama yako,dada zako,shangazi zako,na ndugu yako yeyote mwanamke uliye m-term kama "wadudu"
Mweleze kuwa Kuburuzana ni both sides....na humu jf inaonekana wanaoongoza kwa kuburuzwa ni wanaume na wanaburuzwa mno ndio maana siku hizi wanaolialia wapo kila kona.
eti wadudu.!!
 
hahaha usijipe tabu mkuu, ungana na sisi huku TUNABULUZAGA TOTOZ KINYAMA, ucjipe stress na mmoja
 
Mm na mademu wengi wengine siwafahamu majina yao wote nikiachwa sijui kama nimeachwa na yupi hayo maumivu ya mapenzi nayasikia tu kwa vijana na hapà jf!!
 
Aisee ndo matatizo ya kutumia feelings zaidi kuliko akili haya mapenzi yasikufanye uache akili nyumbani...!
 
Mweleze kuwa Kuburuzana ni both sides....na humu jf inaonekana wanaoongoza kwa kuburuzwa ni wanaume na wanaburuzwa mno ndio maana siku hizi wanaolialia wapo kila kona.
eti wadudu.!!
wengine ndio mara yetu ya kwanza kuburuzwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…