Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,262
- 18,711
Mapenzi yanahusisha 100% ubongo. Umewahi jiuliza kwanini baada ya kufanya mapenzi unapata usingizi wa ajabu ?
Hii ni kwa sababu ubongo unakua umetumika sana kiasi kutokua na uwezo wa kuuhudumia mwili.
Wanaume ambao hawafanyi mapenzi huwa wanakua na nguvu kiakili kuliko wanao fanya mapenzi
Kutokana na hivyo wanaume wanao fanya mapenzi huzeeka mapema kutokana na ubongo wao kupunguza uwezo wa kuhudumia mwili.
Mapenzi yanachosha akili kuliko mwili.
Hii ni kwa sababu ubongo unakua umetumika sana kiasi kutokua na uwezo wa kuuhudumia mwili.
Wanaume ambao hawafanyi mapenzi huwa wanakua na nguvu kiakili kuliko wanao fanya mapenzi
Kutokana na hivyo wanaume wanao fanya mapenzi huzeeka mapema kutokana na ubongo wao kupunguza uwezo wa kuhudumia mwili.
Mapenzi yanachosha akili kuliko mwili.