Mihayo DP
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 562
- 1,018
Hahaaa daah huna hela,shule huna na maisha huna hahaaaYes naungana na wewe. Na some factors behind lazima ziwepo! Uwe na jeuri ya money kidogo, angalau na kamvuto kama kapo, atatamani dunia ipasuke
Ila ukijifanya unamgomea then upo upo tuu,yeye ndio kwanzaa anakunywa mtindi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent from my VFD 301 using JamiiForums mobile app
