fabinyo
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 3,042
- 2,235
eeeh,hivi kuview-status nayo ni ishu?interesting....siangalii status ya yeyote na wala sijui inawekwajeUkitaka mapenzi uyashinde mbomoe mpenzi wako kisaikolojia asijione wa maana. Siku moja moja simu usipokee kwa muda, status usi-view, foka, hapo utamteka.
Mnaonewa kwa sababu mnaonesha kupenda sana. Mapenzi yanataka ujeuri.


