asante sana,ishu sio kwamba yeye ana matatizo,tulipeana time ya kuzoeana sasa ndani ya hicho kipindi yametokea mengi sana ila kiujumla wake she is wife material.Tatizo ni tunapishana common interests basi lkn vingine vyote tupo ok ingawa kila kitu amekuwa anasacrifice kufuata interests zangu mi naona kama siko fair kwake