Mapenzi yananitesa

Niambie kwa uwazi tu mbona ntayapokea yote tu.
 

yo too general wewe weka wazi ni vitu gani hamuendani watu wana ujuzi wa kukusaidia hujui jf ni zaidi ya darasa??
 

sidhani kama kipo cha kukushauri coz hujawa muwazi kuzianika ili upate ushauri wa jumla kutoka kwa wadau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…