Mapenzi yananitesa

Mapenzi yananitesa

Ukitaka usimumizwe na mapenzi fanya mambo yafuatayo. Achana na kufukuzia mwanamke au mwanaume unayemtaka. Jaribu kuwa bize na maisha yako ya kawaida, pambana na maisha, tafuta pesa, fanya kazi, fanya mazoezi ya viungo na lkazi za mikono na muhimu kuliko yote, nenda kanisani uwe mtu wa ibada. I tell you, hiyo spirit ya kuwaza love inaondoka taratibu, na utajikuta wahusika wanakuja wenyewe aisee. Kama wewe ni mwanaume utajikuta mabinti wanajisogeza kwako wenyewe, kazi yako kuchagua
Asnte but me ni mwanamke nimejifunza mengi kutokana na point zako asnte ntajitaidi nifanye ivo
 
Nikwambie kitu,sheria ni hii MUNGU KWANZA MENGINE BAADAE.

~Pia tafutavwalio fanikiwa kimaisha ndan ya wiki 1 utatamani maisha yao na utaanza kuwa busy kutafuta hela ili uweze kumiliki mavitu hapo utakuwa bize na maisha yako

~akili yakoo iruhusu kuwaza Mungu na hela tu
 
**MAPENZI KICHAA MAPENZI UCHIZI.....ILO UNALOLIKATAA MWINGINE LINA MNYIMA USINGIZI**** DAH HAMA KWELI MSANII NI KIOO CHA JAMII NA DARASSA HALIIMBA KWELI........,,,,,SO DO YOUR OWN THING ma big sister...,instead of love affairs..
 
Usikate tamaa, sali/swali mi nlipoamua kutopenda nkakutana na anayependa zaidi yangu nilivyokuwa zamani nlivyoona anapata tabu yuko real nkarudisha moyo nkamlove back sasa nimo paradiso napendwa haswaaa
 
dawa ya mapenzi Hakuna na ndo maana Hata vitabu vitakatifu vinafananisha mapenzi ni kama kifo kukwepeka haiwezekani.

ila la muhim jifunze kutokung'ang'aniza mpenzi sehem ambayo siyo sahihi.

wapendanao siku zote miyo Yao u feel the same.
 
Back
Top Bottom