Mapenzi yananitesa

Mapenzi yananitesa

Mapenz ni hisia zinazoumiza na kutesa watu wengi lkn Huwa hazichoshi, Leo umelalamika kesho Utapata mtu after then utasau ila akikutenda Utakumbuka tena Halafu maisha yanakwenda,
umeandika.....kama ...unaimba....
 
Jf naomba ushauri kwani kuna dawa ya kuacha kupenda au kutokuumia ukiacha maana nateseka sana mapenzi yamekuwa changamoto saana kwangu naomba nisaidieni jamani nimechoka na hii kitu inaitwa mapenzi nataka niwe mwenyewe nifanye mambo yangu.
Wakati mwingine mapenzi yanatutesa hasa pale tunapotaka kuyaongoza kwa akili zetu, kukosa moyo wa msamaha, kutamani au kuiga mahusiano ya wengine, etc.... Haya na mengine mengi yanachangia maumivu kuwa karibu zaidi katika mapenzi.....
 
Back
Top Bottom