Mapenzi yananitesa sana

Unateswa na mapenzi lakin bado ushauri unautaka kwa wanaoteswa na mapenzi vilevile akh hii dunia hii bas tu 😀😀
Anywayz achana na kitu mapenzi najua utakuwa sawa usiyaendekeze
 
Hayanitesi, kama wewe ni ke na nayakutesa basi ni huna emotional intelligence ama lah sura mbovu na umbo baya. Pole sana
Wewe ni shapeless shingo kama ya kakakuona , vimiguu kaka vya ndege , umekomaa kama chuma za bendera ya taifa,unakijitambi cha minyoo , meno yako yamegawanyika kama mahindi choma
 
Piga chini malaya wooote. Kaa tuliza akili, mpenzi hatafutwi anatokeaga tu mwenyewe na mnajikuta mmekuwa wapenzi. Tuliza akili
 
Vizuri kila mtu anamtazamo wake bossy
Ili uwe sio mtu wa mapenzi inabid uwe annointed tokea tumboni tofauti na hapo una-uhaba wa nguvu za kiume/kike

Tofauti na hapo utajifariji huitaji mapenzi lakin deep inside unaumia sana

Mapenzi mazuri na matamu ukimpata mnaendana na changamoto lazima ziwepo sababu hakuna mkamilifu
 
Wewe ni shapeless shingo kama ya kakakuona , vimiguu kaka vya ndege , umekomaa kama chuma za bendera ya taifa,unakijitambi cha minyoo , meno yako yamegawanyika kama mahindi choma
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wewe dada ni chizi kudadeki nimecheka kinoma.
 
We jamaa uko kama mimi, except namba 2 hiyo mimi ndio sina kabisa.

Yaani ni shida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…