Hamna type wala nini nyie PESA TU ndo dawa yenuu...hata nyani anakuwa type kama angekuwa na uwezo wa kuwa na pesaaJamani hakuna kitu kinauma ka kupretend kumpenda mtu. Huyo Yu...ameamua kuwa huru. Au ulitaka azidi kukudanganya? We kwani hujakutana na wasichana ukaona kabisa sio type yako?? Eeh kupenda ni kuchagua, kapata wa type yake. Ni ukweli mchungu ila ndo keshaondoka, hao wanaokudanganya kuwa ooh atarudi wanakupa moyo...sisi wanawake tukipata tunaowapenda tunatuliaaaa hata haturudi...usikurupuke kutafuta wa type yako, tulia kwa mda, jitafakari, taratibu utamsahau. Pole sana mwaya.
Jamani hakuna kitu kinauma ka kupretend kumpenda mtu. Huyo Yu...ameamua kuwa huru. Au ulitaka azidi kukudanganya? We kwani hujakutana na wasichana ukaona kabisa sio type yako?? Eeh kupenda ni kuchagua, kapata wa type yake. Ni ukweli mchungu ila ndo keshaondoka, hao wanaokudanganya kuwa ooh atarudi wanakupa moyo...sisi wanawake tukipata tunaowapenda tunatuliaaaa hata haturudi...usikurupuke kutafuta wa type yako, tulia kwa mda, jitafakari, taratibu utamsahau. Pole sana mwaya.
Hamna type wala nini nyie PESA TU ndo dawa yenuu...hata nyani anakuwa type kama angekuwa na uwezo wa kuwa na pesaa
Hee jamani, mi nakwambia. Sisi tukipata wa type zetu hata HELA hatuzitaki. Narudia tena, ukiona mwanamke anakudanga jua hakupendi, jiongeze kimbia.
Yule mimi nmezidi kila kitu ndo maana nikaweka makambi yakudumu nikiamini hatupishani sana tena yeye ni kanene kidogo mi nimemzidi vingine vyotee, sasa ile kusema mi sio type yake ndo najiuliza anataka mfupi kama yeye na kanene kama yeye au kaamua kuondoka sawa namimi nimekubali kuachika sawa
Wapi wewe mnapataga wa type yenu ila pesa kama hamna Mnaanza chengaa...! Mnaolewa na wenye vitambi mwisho wa siku mnaanza kutafuta vibraza men viwafikishee...hela mnataka na mapenzi mnatakaa...shwain kabisa
Wewe unaweza kuwa na mwanaume ambae hawezi hata kukunulia vocha???sikulazimishi kuamini. Ila ndo ukweli.
Wewe unaweza kuwa na mwanaume ambae hawezi hata kukunulia vocha???
Eeh naweza, yaani mi ndo nakuwa namnunulia. Si nampenda jamani. Tunapendana.
Haya bhna
Kamaliza chuo gniWakubwa zangu Heshima kwenu,
Mimi kijana wenu nimejikuta nikiwa kwenye hali ngumu saana ambayo nadhani sijawahi kukutana nayo kabla, ni baada ya kuangukia kwenye penzi zito na Binti mmoja akiwa ndo amemaliza masomo yake Hapa Dodoma!
Kiukweli Leo amenitumia text yake moja amabayo mpaka sasa hivi nahisi kama siyo yangu lakini ni yangu kumbe kaaabaisaaa! Daah Ananiambia kwamba mimi sio type yake hivyo tu yani daaah (sitaki kuamini umbo langu ndo tatizo maana nnaumbo kidogodogo kiasi) aaaaaargh inauma saaaana saaana tena saaana, yani nmeshindwa hata kumjibu chochote mpaka sasa, Kwa upande wangu napenda sana, nisiwe mnafki tena namuhitaji sana tu lakini ndo kwanza katika future lakini ndo nimemaliza chuo mwaka huu Bado sijaeleweleka kimazingira nyie wenyewe mnajua hali halisi.
Wakubwa nawaheshimu sana ndo maana naomba mawazo yenu sijui nifanye nini mimi sielewi kabisa yani mpaka sasa sina chaku muuliza wala kumjibu hata alichoniambia kama sikielewei yani sijui sijui. Msinaidie mawazo mimi mdogo wenu jamani kabla sijapotea.
Please Yu.... Utaniua jamani daaah
nimepaelewa saaana shukrani mkuuuKesi ndogo sana hiyo: 1. Achana naye 2.buni aina fulani ya maisha ya kuishi 3. Tafuta pesa 4. Kiasi kidogo cha fedha wekeza kwenye mambo ya msingi 5.Penda kufanya tour baadhi ya sehemu zinazokufariji na utumie pesa kiasi 6. Huko utapata mpenzi atakayekuondoa katika hali uliyonayo 7.Furaha ya maisha itakuwa imerudi kwani utadekezwa badala ya kudekeza.
BRO WASICHANA NI WASHENZI HAIJAWAHI KUELEZEKA
HALAFU WAO NDO HUWA WA KWANZA KULIALIA
HUYO MANZI ATARUDI NA MAKAMASI USONI
70% YA WANAUME PLAYERS WANA HISTORIA MBAYA YA KUTENDWA NA WANAWAKE
PIGA MOYO KONDE MAISHA LAZIMA YAENDE
ILA USIKATE TAMAA KUPENDA ILA PENDA KWA AKILI
Hao watoto wanaliwa xana mitaa ya kikuyu...graduu ilikua ijumaa iliyopita...wengi wanaongwa xana....kwan ulishawah kumla tgo?st john