ankol
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 2,105
- 3,475
Habari zenu wana Jf.
Leo nimeona ni share na nyie mambo mabaya yaliyonitokea maishani mwangu.
Miaka mitatu iliyopita niligraduate elimu yangu ya chuo na baada ya kukaa miez kadhaa nyumbani hatimaye nikabahatisha ka ajira ofc fulani hivi. Uongo mbaya nikaanza maisha na nikaona ni bora nihame nyumbani ili nikaanze maisha yangu mwenyewe.
Nikaulizia wafanya kazi wenzangu wanitaftie shemu ya kupaga nearby ofc c unajua tena kero ya usafiri na jiji letu? Hatimaye nikapata kijichumba na kisebule karibu na wanapoishi wafanya kazi wenzangu. Maisha yakaenda kajimshahara kangu liweza kuka control vizuri na niliweza kusave kiasi flani huku nikiwa na dreams lukuki kichwani kwangu.
Baada ya mwaka mmoja kuisha ofc iliajiri wafanya kazi wadada watatu ambao mmoja wapo alinivutia kwa kweli. Kama kawaida nikaanza kuimbisha baada ya kataakataa kama miez kadhaa then akanikubalia na akanimba iwe siri kwani teyari alishatongozwa na wafanya kazi wengine pale pale ofcn. Basi mahusiano yakaanza akawa anakuja nyumbani kwangu mara kwa mara, bahati mbaya akawa anaonekana na wale wenzangu tulokua tunaishi nao nearby. Hakuna tena siri. akaniomba tuhame pale nilipokua nikiishi kwani hakua akijisikia amani kila ajapo.
Tukatafuta nyumba ingine safari hii very expensive vyumba viwli na sebule nilipohoji singo boy kumiliki vyote liambiwa wageni wakija je? Baada ya kuhamia tu, Demu nayeye akahamia. Tukawa tukiishi kama mke na mume. nikampa woning please usishike mimba kwani sijafikia hata nusu ya ndoto zangu, tukaenda mpaka ushauri nasaha wakatuelekeza jinc ya kujikinga nayo.
Hagharama zikazidi, Outing, shopping, rent kubwaa n.k vikafanya kalekale ka salary nilikokua mpaka na save kakawa hakatoshi tena, mishahara haigongani tena.
Baada ya miez kadhaa mwenzangu akapata pregna! hapana so sorry tuka abort, nikamuonya tena na tena asishike pls lakini onyo langu halikusaidia. ni baada ya miez miwili tu akashika mimba ingine nikajua kakusudia nkamwambia ajiandae kulea tu.
Kichwa kinachemka, inabidi nitafute kazi ingine yenye kipato maradufu ili niweze kukabiliana na majukumu haya yanayokuja mbeleni. ndipo nilipoangukia mikononi mwa matapeli wa kazi, Wakanitapeli milion moja yangu wakiniahidi watanipatia kazi nje ya jiji. baade wakanambia nisafiri ili nikaanze kazi uko mkoa, nami kwa kua niliwaamini sana isitoshe ni ndugu yangu nika resign kazi nilonayo na kusafiri hadi mkoa.
Kufika huko subiri subiri zikawa nyingi hatimaye nkagundua kua nshatapeliwa na kule nlishaacha. Mpaka leo hii sijapata tena kaz na yule mdada ndo ashajifungua, nimerudi nyumbani yani ni balaa juu ya balaa sijui nifanyaje wadau!
Leo nimeona ni share na nyie mambo mabaya yaliyonitokea maishani mwangu.
Miaka mitatu iliyopita niligraduate elimu yangu ya chuo na baada ya kukaa miez kadhaa nyumbani hatimaye nikabahatisha ka ajira ofc fulani hivi. Uongo mbaya nikaanza maisha na nikaona ni bora nihame nyumbani ili nikaanze maisha yangu mwenyewe.
Nikaulizia wafanya kazi wenzangu wanitaftie shemu ya kupaga nearby ofc c unajua tena kero ya usafiri na jiji letu? Hatimaye nikapata kijichumba na kisebule karibu na wanapoishi wafanya kazi wenzangu. Maisha yakaenda kajimshahara kangu liweza kuka control vizuri na niliweza kusave kiasi flani huku nikiwa na dreams lukuki kichwani kwangu.
Baada ya mwaka mmoja kuisha ofc iliajiri wafanya kazi wadada watatu ambao mmoja wapo alinivutia kwa kweli. Kama kawaida nikaanza kuimbisha baada ya kataakataa kama miez kadhaa then akanikubalia na akanimba iwe siri kwani teyari alishatongozwa na wafanya kazi wengine pale pale ofcn. Basi mahusiano yakaanza akawa anakuja nyumbani kwangu mara kwa mara, bahati mbaya akawa anaonekana na wale wenzangu tulokua tunaishi nao nearby. Hakuna tena siri. akaniomba tuhame pale nilipokua nikiishi kwani hakua akijisikia amani kila ajapo.
Tukatafuta nyumba ingine safari hii very expensive vyumba viwli na sebule nilipohoji singo boy kumiliki vyote liambiwa wageni wakija je? Baada ya kuhamia tu, Demu nayeye akahamia. Tukawa tukiishi kama mke na mume. nikampa woning please usishike mimba kwani sijafikia hata nusu ya ndoto zangu, tukaenda mpaka ushauri nasaha wakatuelekeza jinc ya kujikinga nayo.
Hagharama zikazidi, Outing, shopping, rent kubwaa n.k vikafanya kalekale ka salary nilikokua mpaka na save kakawa hakatoshi tena, mishahara haigongani tena.
Baada ya miez kadhaa mwenzangu akapata pregna! hapana so sorry tuka abort, nikamuonya tena na tena asishike pls lakini onyo langu halikusaidia. ni baada ya miez miwili tu akashika mimba ingine nikajua kakusudia nkamwambia ajiandae kulea tu.
Kichwa kinachemka, inabidi nitafute kazi ingine yenye kipato maradufu ili niweze kukabiliana na majukumu haya yanayokuja mbeleni. ndipo nilipoangukia mikononi mwa matapeli wa kazi, Wakanitapeli milion moja yangu wakiniahidi watanipatia kazi nje ya jiji. baade wakanambia nisafiri ili nikaanze kazi uko mkoa, nami kwa kua niliwaamini sana isitoshe ni ndugu yangu nika resign kazi nilonayo na kusafiri hadi mkoa.
Kufika huko subiri subiri zikawa nyingi hatimaye nkagundua kua nshatapeliwa na kule nlishaacha. Mpaka leo hii sijapata tena kaz na yule mdada ndo ashajifungua, nimerudi nyumbani yani ni balaa juu ya balaa sijui nifanyaje wadau!