Namiliki mtotro sasa hivi!😄😄😄Kwa nini watotro wote wazuri umiliki wewe tu banaa!Hatari
Nina kesi na wewe sijibiwi pm zangu kule
Namiliki mtotro sasa hivi!Kwa nini watotro wote wazuri umiliki wewe banaa!







Atadumu.Halafu mtotro chura ipo!😄😄😄Nakupa wiki hautodumu nayeee![]()
Ipo ya kutosha nayepata shida ni mimi chief ww ni ndugu ata kama wanasema kizuri wala na ndugu yakoAtadumu.Halafu mtotro chura ipo!😄😄😄
naona umeamua kutaja majina yake yote sasa
Hapana maana tayar ana commitmentKwa iyo akija kutaka ndoa utamkubalia
Nilikutana nae akaanza kunihadithia changa moto za ndoa yake...mm nikampa pole nikamwanbia nipo chuo fulani aliumia na alijuta akaniambia kama angejua angenishaur nirud shule na anisubir. Maana ameoa lkn kama hajaoa
Bila shaka atakula kimasiharaNilikutana nae akaanza kunihadithia changa moto za ndoa yake...mm nikampa pole nikamwanbia nipo chuo fulani aliumia na alijuta akaniambia kama angejua angenishaur nirud shule na anisubir. Maana ameoa lkn kama hajaoa
Kabisa,ndo maana nkasema ajiandae kuliwa kimasihara maana jamaa anatafta kuonewa hurumaNdio gia zao hizo wanaume,kuact kama wana ndoa chungu ili upate huruma wakutafune
Na hupaswi kabisa kumchukia..Sidhani kama namuhitaji tena. Me naona Mungu alimleta maishani mwangu once ili anidharau nipate uchungu nifike nilipo sasa. Wala simchukii japo alimiumiza