Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama mbinguni

Mapenzi yako yatimizwe, hapa duniani kama mbinguni

Yaani kwa style hii walioko kwenye mfumo washashindwa, tumebaki wananchi tujiokoe wenyewe lakini na kwa jinsi wananchi wa nchi hii tulivo kunguru hamna kitu tutafanya.
Sijui kwanini sikuzaliwa hata kenya hapo,bongo napachukia kwa moyo wangu wote 😡.
Kenya mtu anapishana na risasi ngi nga hapo kwa hapo...huo ujasiri watanzania hatuna ...kabisa...mim pia napenda kuishi Kenya ama nchi za west Africa Wana uthubutu kwa mambo mengi ndio mana wanafanikiwa sana na Wana UMOJA usio wa kawaida ndio mana nchi za ulaya unawakuta wengi ila bongo ubinafsi uchawi na Bado waoga ama wenye nidhamu za woga ..uchawa
 
Nikweli hamna wakuxuwia na mtakacho ndio kinakuwa. Watanzania ni mali yenu mnaweza kufanya chochote na hakuna wakuwafanya lolote.

Basi sawa hongereni sana ila kaburi la baba Wataifa lipo hapa Tanzania 🇹🇿 🙏
Kwa pamoja tunasema Mapenzi ya Mungu yatimie hapa duniani kama mbinguni. 🙏 🙏 🙏
Basi sawa hongereni sana ila kaburi la baba Wataifa lipo hapa Tanzania 🇹🇿 🙏
Kwa pamoja tunasema Mapenzi ya Mungu yatimie hapa duniani kama mbinguni.🥺🥺🥺
 
Nilisema kua watu humu huandika mambo kuonekana wao wanajua sana ama ni watu wa kiroho sana ..watu wa kiroho hua hawajitangazi ovyo na hata waonayo hawasemi hubaki nayo kimya ..zote zilikua ni porojo tu ..watu wamejisimika kuanzia miaka ya 90 unawawezea wapi? Hapo wana filthy wealth na Bado zinaingia tu...na Bado wanajisimika kila mahali na sehemu nyeti...watu tuendelee na maisha kama kawaida na tukihangaikia familia zetu, ukipata Chaka LAKO la kupiga piga tembea mbele ...tuache porojo..
Kila lenye mwanzo halikosi mwisho.. Na kamba hukatikia pembemba
 
Nilisema kua watu humu huandika mambo kuonekana wao wanajua sana ama ni watu wa kiroho sana ..watu wa kiroho hua hawajitangazi ovyo na hata waonayo hawasemi hubaki nayo kimya ..zote zilikua ni porojo tu ..watu wamejisimika kuanzia miaka ya 90 unawawezea wapi? Hapo wana filthy wealth na Bado zinaingia tu...na Bado wanajisimika kila mahali na sehemu nyeti...watu tuendelee na maisha kama kawaida na tukihangaikia familia zetu, ukipata Chaka LAKO la kupiga piga tembea mbele ...tuache porojo..
Kila lenye mwanzo halikosi mwisho.. Na kamba hukatikia pembemba
 
Kila lenye mwanzo halikosi mwisho.. Na kamba hukatikia pembemba
Kwakweli mkuu ni kweli msemo huo ila it will take a lot of blood and sacrifice kuondoa kitu hiki ambacho umeshaona impact yake 25 years later
 
Usiwapuuze hao uliowataja. Mungu ana namna nyingi za kufikisha ujumbe kupitia watu mbali mbali kwa sehemu na nyakati tofauti. Kuna mengi yaliyosemwa kabla na miongoni mwa uliowataja na yalitukia.
Sijawapuuza hata kidogo comnent yangu imekaa kikukata tamaa sana binafsi sifurahishwi na kinachoendelea
 
Hamna kitu rafiki,kelele zimekua nyingi sana kuliko action na hapo ndo wanapozidiwa kete na jk yeye na timu yake hawaropoki ni action tu, hata enzi za mwenda zake kelele zilikuja baada ya kukamilisha zoez lao.
Just wait
 
Mapenzi ya Mungu juu ya Tanzania yetu ni haya:

1. Kiti chake Cha Enzi kilicho mbinguni, kiwepo pia hapa Nchini petu na anakitaka akae mwenyewe kupitia mtumishi wake.
 
Back
Top Bottom