cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Kwa sisi wanawake tulio wengi kama umeachwa au umemfumania umpendae tunahisi maumivu makali hadi kutamani kuzimia
Mawazo, maumivu ya kichwa, mwili kuwa na joto na uchovu, hapa sitaki niongee kuhusu mahusiano tena,hata kama mwanaume ataninitongoza naweza kumjibu vibaya
Baada ya siku kadhaa hivi nachukua simu naingia WhatsApp, insta au fb au kwenye orodha ya majina ya simu halafu naanza kuangalia kati ya wanaume waliowahi kunitongoza nikamkatalia ni nani handsome na alikuwa serious na mimi
Nitaselect jina nitamtumia sms "Mambo" akinijibu atajiongeza mwenyewe kwa nini leo nimemtafuta
Sasa wale wanaume mnaokataliwa wakati mnatutongoza halafu mnaishia kutoa mabango na lugha za kashfa hii nafasi huwa inawakosa
Mawazo, maumivu ya kichwa, mwili kuwa na joto na uchovu, hapa sitaki niongee kuhusu mahusiano tena,hata kama mwanaume ataninitongoza naweza kumjibu vibaya
Baada ya siku kadhaa hivi nachukua simu naingia WhatsApp, insta au fb au kwenye orodha ya majina ya simu halafu naanza kuangalia kati ya wanaume waliowahi kunitongoza nikamkatalia ni nani handsome na alikuwa serious na mimi
Nitaselect jina nitamtumia sms "Mambo" akinijibu atajiongeza mwenyewe kwa nini leo nimemtafuta
Sasa wale wanaume mnaokataliwa wakati mnatutongoza halafu mnaishia kutoa mabango na lugha za kashfa hii nafasi huwa inawakosa