Mapenzi ya siku hizi michosho tuu

Ketuti

Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
30
Reaction score
78
Unakuta unatoka na demu out, tena abda umemsafirisha toka mkoa mwingine. mkifika sehemu labda pub yaani kazi yake ni kula na kunywa na fuuul kuchati, hata cjui anakuwa anachati na nani[emoji21] [emoji21] [emoji21] [emoji21] hakuna hata maongezi, mxewuuuuuu!!!

Unaishia kuchunwa tuu hata story hamna, inaboa saana.
 
Hivi wanaume wa Daslam, mna matatizo gani....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Maana kila kukicha hamuishi kulalamika yaani....[emoji52] [emoji52] [emoji52]
 

Kwa msonyo huo, hapo sijaona utofauti kati yako na dadaako yule mwenye mnachangia lipsticks, vipyedo na mnapishana kwenye dressing table huko Daslam.....
Naomba niishie hapa tafadhali
 
Jikaze chief baada ya hyo outing uondoke nae
 
Hivi wanaume wa Daslam, mna matatizo gani....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Maana kila kukicha hamuishi kulalamika yaani....[emoji52] [emoji52] [emoji52]
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Kwa msonyo huo, hapo sijaona utofauti kati yako na dadaako yule mwenye mnachangia lipsticks, vipyedo na mnapisha kwenye dressing table huko Daslam.....
Naomba niishie hapa tafadhali
aliyekusonya huyo hapo
 
Hivi wanaume wa Daslam, mna matatizo gani....[emoji45] [emoji45] [emoji45]
Maana kila kukicha hamuishi kulalamika yaani....[emoji52] [emoji52] [emoji52]
Tena wanachokilalamikia chenyewe hakina kichwa wala miguu....

Sasa kama humwongeleshi atafanya nini zaidi ya kuchat? Mdada akae na Ushimen hapa halafu aanze kuchat? Atapata wapi nafasi hiyo

Vijana punguzeni malalamiko,ongezeni ubunifu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…