Mapenzi ya siku hizi hata hayana raha

Mapenzi ya siku hizi hata hayana raha

Miwatamu

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2012
Posts
1,450
Reaction score
490
Nasema hivo kutokana na ukweli kuwa siku hizi mtu anaweza kutongoza au kutongozwa akiwa kitandani kwake hata kabla hajawahi kumuona anayetongozana naye.

Hata ukimwambia mtu wee njoo tu bila kuvaa pichu anafanya hivyo.

Nikikumbuka zama zetu mtu alikuwa na uwezo wa kumaliza miezi kadhaa hata bial ya kuweza kusimama na msichana kwa salaam.

Kwa maana nyingine digital hii ndiyo imepelekea mapenzi kuonekana kama ni kitu cha kawaida tu ambapo mtu akikuzingua kidogo tu unamwambia kuwa hapa nina namba zaidi ya 50 za watu kama wewe wanaonisubiri.

Chezea digital wewe.
 
Nasema hivo kutokana na ukweli kuwa siku hizi mtu anaweza kutongoza au kutongozwa akiwa kitandani kwake hata kabla hajawahi kumuona anayetongozana naye! Hata ukimwambia mtu wee njoo tu bila kuvaa pichu anafanya hivyo!

Nikikumbuka zama zetu mtu alikuwa na uwezo wa kumaliza miezi kadhaa hata bial ya kuweza kusimama na msichana kwa salaam! Kwa maana nyingine digital hii ndiyo imepelekea mapenzi kuonekana kama ni kitu cha kawaida tu ambapo mtu akikuzingua kidogo tu unamwambia kuwa hapa nina namba zaidi ya 50 za watu kama wewe wanaonisubiri.

Chezea digital wewe!

Uuh!,mimi napita tu na hayo mapenzi ya zamani ndo yakoje,ndo maana ya utandawazi na wakati tuliopo sasa,kwani kila jambo na wakati wake kwani hata wa sasa watakuja sema kuwa bora enzi zetu.Kila jambo lina wakati wake.Naomba kuwasilisha.
 
sasa mkuu kama utandawazi m'baya usingetumia simu au pc kuandika hapa
 
Sikuiz unaweza kutana na mtu barabarani ukipiga sound jioni unakula mziga
 
So many beatful out there just for us... mdada anajua akileta mapoz we gve up on her tunamfata mwengne.... then vjana wa sauzi we dnt like stories mambo fastafasta tukiridhiana sawa ikigoma kwa heri... no hard fillings huhuuu
 
Mliozaliwa zamani mna raha jamani....
 
Inategemea kwa "ntu na ntu", wengine mpaka wanapata wake/waume sasa mtu kama huyu ukimwambia mapenzi ya mtandaoni ambapo alitongoza/alitongozwa akiwa kitandani bila hata ya kumjua mtongozaji/mtongozwaji anafananaje kamwe hatakuelewa.

 
Last edited by a moderator:
Mapenzi kitu cha ajabu sana waweza mpenda mtu hata hujui anafananeje.....
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nasema hivo kutokana na ukweli kuwa siku hizi mtu anaweza kutongoza au kutongozwa akiwa kitandani kwake hata kabla hajawahi kumuona anayetongozana naye! Hata ukimwambia mtu wee njoo tu bila kuvaa pichu anafanya hivyo!

Nikikumbuka zama zetu mtu alikuwa na uwezo wa kumaliza miezi kadhaa hata bial ya kuweza kusimama na msichana kwa salaam! Kwa maana nyingine digital hii ndiyo imepelekea mapenzi kuonekana kama ni kitu cha kawaida tu ambapo mtu akikuzingua kidogo tu unamwambia kuwa hapa nina namba zaidi ya 50 za watu kama wewe wanaonisubiri.

Chezea digital wewe!

Enzi zenu madomo zege mlikuwa wengi sana mzeee
 
HahHah mambo ya kuchuma nyasi na blabla hakunaaa ni fasta fasta
 
Sikuiz unaweza kutana na mtu barabarani ukipiga sound jioni unakula mziga

Jioni kote huko , Mnakutana kwenye daladala Mnashuka wote kituo si chenu mnaingia nyumba ya wageni , ghafla mnakuwa wageni na mnahitaji kupumzika !
 
Jioni kote huko , Mnakutana kwenye daladala Mnashuka wote kituo si chenu mnaingia nyumba ya wageni , ghafla mnakuwa wageni na mnahitaji kupumzika !

Kuna watu wana mioyo migumu aisee...!
Mimi naona haina tofauti na anayeenda kwa kimboka kununua..
Mnakutana kwenye daladala -> maneno mawili mnashuka -> mnaongozana guest ->mnavuana...heee!
 
Jioni kote huko , Mnakutana kwenye daladala Mnashuka wote kituo si chenu mnaingia nyumba ya wageni , ghafla mnakuwa wageni na mnahitaji kupumzika !

Hahaaa hatareeeeeeee
 
Back
Top Bottom