Mapenzi ya mahandsome

Mapenzi ya mahandsome

Mtoa mada
1. Siku hizi "HANDSOME"kwenu nyinyi wadada ni pesa tu ndo maana sisi tusio na pesa mnatukimbia kama unabisha nikupe story yangu binafsi kuthibitisha hilo.
2.Kwa definition ya mabinti wengi "HANDSOME"sio sura bali uwezo wa kipesa. Wakati fulani nilikutana na dada mmoja alikuwa hapa kazini kwetu ananiambia "MWANAUME HATA AKIWA MZURI WA SURA,KAMA HANA PESA HAFAI" kwa hiyo nyinyi wadada UHANDSOME wa mtu mnamhesabia kwenye pesa.Ndio maana hata "MPOKI"pamoja na weusi na ubaya wote lakin kwa kuwa ana pesa lazima umuite HANDSOME.
 
Ishu sio hata sura.

Tabia ndo kila kitu.

Haimaanishi ukiwa handsome automatically you are a player and have all the above qualities.

There are some very fine young men out there na wanajielewa.
Where ?
 
Mbona kama unaelezea yaliyusibu,,,



I feel you,,,,,Pole sana kama yamekutokea
 
Kumbe ndo sababu wanawake wengi walio olewa waume zao si wa ndoto zao,baada ya kupotezewa muda namahandsome kuwaacha wanakuja kwetu sisi wanaotuita wa kawaida hlf wanafosi ndoa baby utanioa lini.nyie mnao chagua mabwana si kila king'aacho ni dhahabu.
 
Back
Top Bottom