mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
Sio ubinafsi ukitaka kuwekwa kwenye malist kuwa na handsome ukiwa na mwanaume wako wa sura ya mbuzi halafu mweusi walaa hakuna wa kumsogelea
Kwani na wewe ni handsome mshipa wake dada
aah wapi mimi nina sura ngumu sana