Mapenzi ya mahandsome

Mapenzi ya mahandsome

Wapendwa marafiki.
Nimekaa nimewaza nikaona nitoe dukuduku hili.

Unajua kwanini wakaka mahandsome hawaoi?
Nawakioa asilimia chache wanadumu asilimia kubwa hawadumu kwenye ndoa.
Haya ndio majibu ya ukweli.

1.wanajisikia wanajijengea wao ni wazuri saa yeyote watapata wanawake.

2.wanavijisheria vyao vibovu kabisa.

3.unakuta asilimia kubwa wamejijengea mwanamke akilini wa kumuoa mf. Mastaa , wenye chura,wenye kujichubua nakuvaa nguo kali kali unakuta unapoteza muda katika watu ambao nao hawana malengo yakusettle kuwa mke wamtu wao bado wanatafuta tofauti nahuo uhandsme wakobado hakupendi hujamvutia anakula na wewe maisha tu uko serious naye unamwonyesha kwenu kwa mabest akishamaliza show yenu anaanza kushtuka utamuoa au kumfuatilia anasepa so unabwagwa.

Anayekuja kumuoa demu wako nijamaa wakawaida i mean sura hakuna .
Unatafuta mke mpaka ukimpata unakuta ni malaya anampeleka mtoto bar mwingine hanyanyui hata mguu hakujali yeye ni simu na laptop hata hakupi haki yako yupo nimechoka mpenzi tufanye siku inginee.
Sasa unakaa naye mpaka unatoka nje nakikupa unahangaika mwenyewe.

Upo unaawaacha wadada wanaokupenda kukujali nakukuheshimu kisa ya sura au hana chura au anayo hana miguu mizuri au anakila kitu ni kwa maana mfupi au mrefu sana humtaki unamkataa au kwa maana kwenu ni muislamu humtaki mkristo .

Utashinda ukipiga miayo wenzako hawakuchagua wanawatoto wakubwa wako msingi wewe unabaki tu unashangaa umezeeka unasura imeanza kuchuja unasaka mke ambae kiuhalisia hayuko ila yupo akilini.

Usipoangalia utachagua mpaka uzeeke ufe.
Kwa maana mwanamke ni yule wakawaida tu.

Ilimradi akupe hitaji la moyo wako ulishawahi kumuona rihana na beyonce wameshawahi kudate na mtanzania gani?

Kaa tu Rihana atakuonaga kwenye JF.
Kwanza wanawake kiwango cha kujitambua kipo chini saaana mfano mwanamke anawaza ndoa kwamtu ambae haendan nandoa hata kidogo(hanamalengo) anapambania ndoa kwamwanaume ambae anahudumia nywele sawa tu na yey kuanzia gharama had materials af unakuwa nandoto zakuolewa UMEVULUGWA NN!!! unaiwaza ndoa kwa mwanaume ambae anamiliki IPhone 5 majins ya supreme 9 Gucci 6 all-star converse pair 5 kofia za dope4 Chen za fasach 4 SAA za silver 4 heren pair kibao anakilaaina ya vipodoz kwakazi ya kunyoa saluni au kuingiza nyimbo libraly ila anaishi geto kwamashkaji hana hata kakuku tu alikofuga kuzugia unawaza atakuoa SURELY TUSIPOSEMA UMEVULUGWA BHASI TUNAKUOGOPA yaaan unategemea ndoa kwamwanaume ambae kilasiku anakugonganishia magari utazan movie za Jackie chan
All in all CHAMSINGI NIKUWAOMBEA MPONE TU BHAS COZ UU NI UGONJWA SUGU OFCOZ
 
Wapendwa marafiki.
Nimekaa nimewaza nikaona nitoe dukuduku hili.

Unajua kwanini wakaka mahandsome hawaoi?
Nawakioa asilimia chache wanadumu asilimia kubwa hawadumu kwenye ndoa.
Haya ndio majibu ya ukweli.

1.wanajisikia wanajijengea wao ni wazuri saa yeyote watapata wanawake.

2.wanavijisheria vyao vibovu kabisa.

3.unakuta asilimia kubwa wamejijengea mwanamke akilini wa kumuoa mf. Mastaa , wenye chura,wenye kujichubua nakuvaa nguo kali kali unakuta unapoteza muda katika watu ambao nao hawana malengo yakusettle kuwa mke wamtu wao bado wanatafuta tofauti nahuo uhandsme wakobado hakupendi hujamvutia anakula na wewe maisha tu uko serious naye unamwonyesha kwenu kwa mabest akishamaliza show yenu anaanza kushtuka utamuoa au kumfuatilia anasepa so unabwagwa.

Anayekuja kumuoa demu wako nijamaa wakawaida i mean sura hakuna .
Unatafuta mke mpaka ukimpata unakuta ni malaya anampeleka mtoto bar mwingine hanyanyui hata mguu hakujali yeye ni simu na laptop hata hakupi haki yako yupo nimechoka mpenzi tufanye siku inginee.
Sasa unakaa naye mpaka unatoka nje nakikupa unahangaika mwenyewe.

Upo unaawaacha wadada wanaokupenda kukujali nakukuheshimu kisa ya sura au hana chura au anayo hana miguu mizuri au anakila kitu ni kwa maana mfupi au mrefu sana humtaki unamkataa au kwa maana kwenu ni muislamu humtaki mkristo .

Utashinda ukipiga miayo wenzako hawakuchagua wanawatoto wakubwa wako msingi wewe unabaki tu unashangaa umezeeka unasura imeanza kuchuja unasaka mke ambae kiuhalisia hayuko ila yupo akilini.

Usipoangalia utachagua mpaka uzeeke ufe.
Kwa maana mwanamke ni yule wakawaida tu.

Ilimradi akupe hitaji la moyo wako ulishawahi kumuona rihana na beyonce wameshawahi kudate na mtanzania gani?

Kaa tu Rihana atakuonaga kwenye JF.
Pole sana mkuu
 
Wapendwa marafiki.
Nimekaa nimewaza nikaona nitoe dukuduku hili.

Unajua kwanini wakaka mahandsome hawaoi?
Nawakioa asilimia chache wanadumu asilimia kubwa hawadumu kwenye ndoa.
Haya ndio majibu ya ukweli.

1.wanajisikia wanajijengea wao ni wazuri saa yeyote watapata wanawake.

2.wanavijisheria vyao vibovu kabisa.

3.unakuta asilimia kubwa wamejijengea mwanamke akilini wa kumuoa mf. Mastaa , wenye chura,wenye kujichubua nakuvaa nguo kali kali unakuta unapoteza muda katika watu ambao nao hawana malengo yakusettle kuwa mke wamtu wao bado wanatafuta tofauti nahuo uhandsme wakobado hakupendi hujamvutia anakula na wewe maisha tu uko serious naye unamwonyesha kwenu kwa mabest akishamaliza show yenu anaanza kushtuka utamuoa au kumfuatilia anasepa so unabwagwa.

Anayekuja kumuoa demu wako nijamaa wakawaida i mean sura hakuna .
Unatafuta mke mpaka ukimpata unakuta ni malaya anampeleka mtoto bar mwingine hanyanyui hata mguu hakujali yeye ni simu na laptop hata hakupi haki yako yupo nimechoka mpenzi tufanye siku inginee.
Sasa unakaa naye mpaka unatoka nje nakikupa unahangaika mwenyewe.

Upo unaawaacha wadada wanaokupenda kukujali nakukuheshimu kisa ya sura au hana chura au anayo hana miguu mizuri au anakila kitu ni kwa maana mfupi au mrefu sana humtaki unamkataa au kwa maana kwenu ni muislamu humtaki mkristo .

Utashinda ukipiga miayo wenzako hawakuchagua wanawatoto wakubwa wako msingi wewe unabaki tu unashangaa umezeeka unasura imeanza kuchuja unasaka mke ambae kiuhalisia hayuko ila yupo akilini.

Usipoangalia utachagua mpaka uzeeke ufe.
Kwa maana mwanamke ni yule wakawaida tu.

Ilimradi akupe hitaji la moyo wako ulishawahi kumuona rihana na beyonce wameshawahi kudate na mtanzania gani?

Kaa tu Rihana atakuonaga kwenye JF.
Unasema kweli ila ndugu yangu uwezi kuoa tuh from no where lazima umpende mtu wee huwezi chukua sura mbaya upeleke wap xaxa c ndani hakutakalika
 
Sio ubinafsi ukitaka kuwekwa kwenye malist kuwa na handsome ukiwa na mwanaume wako wa sura ya mbuzi halafu mweusi walaa hakuna wa kumsogelea

Kwani na wewe ni handsome mshipa wake dada

Mbona mimi siyo handsome, sura ya mbuzi, pesa ya kawaida lakini mnanisumbua huku mtaani?...tatizo huwezi jua mnataka nini
 
Ulishadate na wangapi mpaka ukaja na mlolongo huo wa sifa zao

Naamini wakishakupitia sana

Mpaka nakuonea huruma
 
Wapendwa marafiki.
Nimekaa nimewaza nikaona nitoe dukuduku hili.

Unajua kwanini wakaka mahandsome hawaoi?
Nawakioa asilimia chache wanadumu asilimia kubwa hawadumu kwenye ndoa.
Haya ndio majibu ya ukweli.

1.wanajisikia wanajijengea wao ni wazuri saa yeyote watapata wanawake.

2.wanavijisheria vyao vibovu kabisa.

3.unakuta asilimia kubwa wamejijengea mwanamke akilini wa kumuoa mf. Mastaa , wenye chura,wenye kujichubua nakuvaa nguo kali kali unakuta unapoteza muda katika watu ambao nao hawana malengo yakusettle kuwa mke wamtu wao bado wanatafuta tofauti nahuo uhandsme wakobado hakupendi hujamvutia anakula na wewe maisha tu uko serious naye unamwonyesha kwenu kwa mabest akishamaliza show yenu anaanza kushtuka utamuoa au kumfuatilia anasepa so unabwagwa.

Anayekuja kumuoa demu wako nijamaa wakawaida i mean sura hakuna .
Unatafuta mke mpaka ukimpata unakuta ni malaya anampeleka mtoto bar mwingine hanyanyui hata mguu hakujali yeye ni simu na laptop hata hakupi haki yako yupo nimechoka mpenzi tufanye siku inginee.
Sasa unakaa naye mpaka unatoka nje nakikupa unahangaika mwenyewe.

Upo unaawaacha wadada wanaokupenda kukujali nakukuheshimu kisa ya sura au hana chura au anayo hana miguu mizuri au anakila kitu ni kwa maana mfupi au mrefu sana humtaki unamkataa au kwa maana kwenu ni muislamu humtaki mkristo .

Utashinda ukipiga miayo wenzako hawakuchagua wanawatoto wakubwa wako msingi wewe unabaki tu unashangaa umezeeka unasura imeanza kuchuja unasaka mke ambae kiuhalisia hayuko ila yupo akilini.

Usipoangalia utachagua mpaka uzeeke ufe.
Kwa maana mwanamke ni yule wakawaida tu.

Ilimradi akupe hitaji la moyo wako ulishawahi kumuona rihana na beyonce wameshawahi kudate na mtanzania gani?

Kaa tu Rihana atakuonaga kwenye JF.
Pole sana DADA yangu utapata mwanaume wa kukuona ila sasa siku nyingine na ww usipende kuchagua chagua sana
 
Sister usimpangie mtu pa kupenda ila ni vizuri kumshauri juu ya kwake kupenda. Halafu mbona unatoa jibu la ujumla kwamba ma' handsome hawajielewi?! Wengine hawapo hivyo.
 
Wapendwa marafiki.
Nimekaa nimewaza nikaona nitoe dukuduku hili.

Unajua kwanini wakaka mahandsome hawaoi?
Nawakioa asilimia chache wanadumu asilimia kubwa hawadumu kwenye ndoa.
Haya ndio majibu ya ukweli.

1.wanajisikia wanajijengea wao ni wazuri saa yeyote watapata wanawake.

2.wanavijisheria vyao vibovu kabisa.

3.unakuta asilimia kubwa wamejijengea mwanamke akilini wa kumuoa mf. Mastaa , wenye chura,wenye kujichubua nakuvaa nguo kali kali unakuta unapoteza muda katika watu ambao nao hawana malengo yakusettle kuwa mke wamtu wao bado wanatafuta tofauti nahuo uhandsme wakobado hakupendi hujamvutia anakula na wewe maisha tu uko serious naye unamwonyesha kwenu kwa mabest akishamaliza show yenu anaanza kushtuka utamuoa au kumfuatilia anasepa so unabwagwa.

Anayekuja kumuoa demu wako nijamaa wakawaida i mean sura hakuna .
Unatafuta mke mpaka ukimpata unakuta ni malaya anampeleka mtoto bar mwingine hanyanyui hata mguu hakujali yeye ni simu na laptop hata hakupi haki yako yupo nimechoka mpenzi tufanye siku inginee.
Sasa unakaa naye mpaka unatoka nje nakikupa unahangaika mwenyewe.

Upo unaawaacha wadada wanaokupenda kukujali nakukuheshimu kisa ya sura au hana chura au anayo hana miguu mizuri au anakila kitu ni kwa maana mfupi au mrefu sana humtaki unamkataa au kwa maana kwenu ni muislamu humtaki mkristo .

Utashinda ukipiga miayo wenzako hawakuchagua wanawatoto wakubwa wako msingi wewe unabaki tu unashangaa umezeeka unasura imeanza kuchuja unasaka mke ambae kiuhalisia hayuko ila yupo akilini.

Usipoangalia utachagua mpaka uzeeke ufe.
Kwa maana mwanamke ni yule wakawaida tu.

Ilimradi akupe hitaji la moyo wako ulishawahi kumuona rihana na beyonce wameshawahi kudate na mtanzania gani?

Kaa tu Rihana atakuonaga kwenye JF.
mbona povu vepeeeeee ahahahahaha hasa wewe unachagua handsome wa nini.....
 
Wapendwa marafiki.
Nimekaa nimewaza nikaona nitoe dukuduku hili.

Unajua kwanini wakaka mahandsome hawaoi?
Nawakioa asilimia chache wanadumu asilimia kubwa hawadumu kwenye ndoa.
Haya ndio majibu ya ukweli.

1.wanajisikia wanajijengea wao ni wazuri saa yeyote watapata wanawake.

2.wanavijisheria vyao vibovu kabisa.

3.unakuta asilimia kubwa wamejijengea mwanamke akilini wa kumuoa mf. Mastaa , wenye chura,wenye kujichubua nakuvaa nguo kali kali unakuta unapoteza muda katika watu ambao nao hawana malengo yakusettle kuwa mke wamtu wao bado wanatafuta tofauti nahuo uhandsme wakobado hakupendi hujamvutia anakula na wewe maisha tu uko serious naye unamwonyesha kwenu kwa mabest akishamaliza show yenu anaanza kushtuka utamuoa au kumfuatilia anasepa so unabwagwa.

Anayekuja kumuoa demu wako nijamaa wakawaida i mean sura hakuna .
Unatafuta mke mpaka ukimpata unakuta ni malaya anampeleka mtoto bar mwingine hanyanyui hata mguu hakujali yeye ni simu na laptop hata hakupi haki yako yupo nimechoka mpenzi tufanye siku inginee.
Sasa unakaa naye mpaka unatoka nje nakikupa unahangaika mwenyewe.

Upo unaawaacha wadada wanaokupenda kukujali nakukuheshimu kisa ya sura au hana chura au anayo hana miguu mizuri au anakila kitu ni kwa maana mfupi au mrefu sana humtaki unamkataa au kwa maana kwenu ni muislamu humtaki mkristo .

Utashinda ukipiga miayo wenzako hawakuchagua wanawatoto wakubwa wako msingi wewe unabaki tu unashangaa umezeeka unasura imeanza kuchuja unasaka mke ambae kiuhalisia hayuko ila yupo akilini.

Usipoangalia utachagua mpaka uzeeke ufe.
Kwa maana mwanamke ni yule wakawaida tu.

Ilimradi akupe hitaji la moyo wako ulishawahi kumuona rihana na beyonce wameshawahi kudate na mtanzania gani?

Kaa tu Rihana atakuonaga kwenye JF.



nimetabasamu the whole post, kweli kauzee kanaingia dah!
 
Back
Top Bottom